JK aita waandishi

Wana JF,
Habari za uhakika toka ndani kabisa zinasema kwamba JK ameita mkutano wa waandishi wa habari kesho asubuhi pale Ikulu. Hii ni wazi kwamba baraza la mawaziri litatajwa hapo. Hii ni uhakika kabisa.
Nawasilisha

habari chanel ten, raisi kesho atazindua mwongozo wa vyombo vya habari afrika, so haihusiani na baraza hapo. Wameitwa tu kushiriki. Bussiness as usual, mtangoja milele.
 
Yaani hujui kwamba ilikuwa inasubiliwa hukumu ya leo tu ili waendeleze sanaa zao, na kama hujui Makongoro anapewa Uwaziri kamili na sio unaibu.
Tatizo ikiwa hukumu kama ya kule singida basi inaonekana iko sawa lakini ikiwa kama hii ya huku tabata basi inakuwa tabu sana. Tujifunze kuheshimu maamuzi yanayotolewa na vyombo vyetu vya sheria hata kama maamuzi yaliotolewa hayajatufarahisha. Sheria ni sheria
 
JUSTICE MAKONGORO MAHANGA (MINISTER FOR FINANCE SELECT) HAD LONG DELIVERED JUDGMENT OF 'A WIN' IN HIS OWN CASE ABOUT A FORTNIGHT AGO 'AND IT IS STILL JUSTICE FOR ALL THE MAGOGONI STYLE' ANYWAY
... Freedom is coming soon to the explicit independence of our Judiciary soon after a regime change through democratic means.

So far so good, never cry your souls out over all these because sooner than later this fradulent CCM government is going to be a minority back-bencher political party in our legislative council Dodoma hivyo walalahoi kila mmoja tukajipe pole kwa aibu zote hizi z Magogoni kugeuka mahakama.

The Plantiff Makongoro Mahanga KNEW WHAT HE WAS SAYING that time that he most deliberately and emphatically chose to prepare the nation to 'CELEBRATE' his Magogoni premeditate court judgement come May 02, 2012. Mahanga read us a judgement in his own case as early as April 23, 2012 and today it all came to pass the same way he had vividly put it.

Mahanga, we are truely celebrating now as you ha long advised. And tha is equally another BRAND OF AFRICA JUSTICE anyway; hakuna matata zaidi ya adhabu ya kufa mtu dhidi ya CCM kupitia kura zetu 2015!!!


Mara kwa mara navutiwa na jinsi majirani zetu Kenya wanavyoendesha mambo yao ya utawala hasa baada ya kupitishwa katiba mpya.

Kwa sasa kuna zoezi linaloendelea la kuwachuja yaani "kuwa-vet" majaji 44 na mahakimu zaidi ya 300 wa mahakama za Kenya.

Leo hii nimekuwa nafuatilia kwa karibu jinsi wanavyomfanyia "vetting" jaji mwanamama Koome wa mahakama ya kuu.

Kwa nini nasi tusiige mazuri haya hapa nchini kwani kwa hali ninayoiona mahakama zetu haziminiaki mbele ya umma.

Mchujo wa majaji utatuhakikishia tuna watu wanaofaa na kustahili kusimamia utoaji na usimamizi wa hak,i mahakamani. Kuna hisia za wazi kwamba zipo "pro-government" na haziko kamwe huru.

Wakati umefika tuachane na uteuzi usiowazi majaji tulionao kwa sasa. Nashangaa mtu alikuwa wakili kwa muda mrefu kesho anakuwa jaji! Au tu ni msomi wa sheria tu anateuliwa jaji!

Hii si sawa kwa maoni yangu majaji watokane na mahakimu wazoefu wanaokidhi vigezo vya uteuzi. Hii itasaidia kuwa na majaji makini na wenye uzoefu pia.

Tuwe makini na hili vinginevyo mbele giza nene!

Tatizo ikiwa hukumu kama ya kule singida basi inaonekana iko sawa lakini ikiwa kama hii ya huku tabata basi inakuwa tabu sana.

Tujifunze kuheshimu maamuzi yanayotolewa na vyombo vyetu vya sheria hata kama maamuzi yaliotolewa hayajatufarahisha. Sheria ni sheria
 
Tatizo ikiwa hukumu kama ya kule singida basi inaonekana iko sawa lakini ikiwa kama hii ya huku tabata basi inakuwa tabu sana. Tujifunze kuheshimu maamuzi yanayotolewa na vyombo vyetu vya sheria hata kama maamuzi yaliotolewa hayajatufarahisha. Sheria ni sheria

Member Array


Join Date : 6th November 2009
Posts : 49
Rep Power : 439
Likes Received15
Likes Given25


[h=2]
icon1.png
Makongoro Mahanga Kusema tujiandae kushangilia tarehe 02/05/2012 tafsiri yake nini?[/h]
Wana JF, leo katika pitapita zangu hapa Arusha nilikuwa kwenye hoteli ya New Arusha hotel ambako mh. Makongoro Mahanga alikuwa amefikia na ka small house kake.
Katika mazungumzo yake na Mh. Bernard Murunya (EAC elect MP) kwenye miida ya saa tisa hivi mchana, akawa ana mwambia kuwa amejiandaa vipi na kushangilia hiyo siku ya tarehe 02/05/12. Nikajiuliza siku hiyo kunanini, kumbe kulikuwa na jamaa kwa pembeni yangu alikuwa akifuatilia hayo mazungumzo ndipo akaniambia ndiyo siku ya hukumu dhidi ya ubunge wake. Nilijiuliza maswali mengi kama hii ndiyo aina za mahakama zetu kweli tumekwisha. Mengi yanayo fanyika mahakamani ni drama tu kwa walala hoi lakini si kwa wakubwa na isitoshe watawala.
I was shocked and very disappointed to hear this news na nikaona niwashirikishe wana JF wenzangu mtoe maoni yenu.
Nisingependa kumhukumu Makongoro japo yeye tayari inaonekana ana nakala ya hukumu kwa hiyo kauli yake lakini wengi wetu tulikuwa tunafuatilia hizi kesi lakini kati ya kesi zote, ya Mahanga imekaa vibaya kuliko ya mbunge yeyote.
Nawasilisha!​


You, fredmlay, Daudi mchambuzi and 3 others like this.



Reply Reply With Quote
 
Nakumbuka aliwahi kuwa Mchumi wa Banki Kuu ya Tanzania (BOT) na hii ilikuwa ni ktk hekalu hili la kifisadi
 
Tatizo ikiwa hukumu kama ya kule singida basi inaonekana iko sawa lakini ikiwa kama hii ya huku tabata basi inakuwa tabu sana. Tujifunze kuheshimu maamuzi yanayotolewa na vyombo vyetu vya sheria hata kama maamuzi yaliotolewa hayajatufarahisha. Sheria ni sheria

Mkuu wangu nakubaliana na wewe watu wanadhani sheria za nchi zipo kwa maslahi ya Chadema...wanasahu kuwa mahakama zinaendeshwa na sheria ambayo ni taaluma sio maneno ya mitaani.
 
Mkuu wangu nakubaliana na wewe watu wanadhani sheria za nchi zipo kwa maslahi ya Chadema...wanasahu kuwa mahakama zinaendeshwa na sheria ambayo ni taaluma sio maneno ya mitaani.

Pokea like japo hata kwa simu.
 
Member Array


Join Date : 6th November 2009
Posts : 49
Rep Power : 439
Likes Received15
Likes Given25


icon1.png
Makongoro Mahanga Kusema tujiandae kushangilia tarehe 02/05/2012 tafsiri yake nini?


Wana JF, leo katika pitapita zangu hapa Arusha nilikuwa kwenye hoteli ya New Arusha hotel ambako mh. Makongoro Mahanga alikuwa amefikia na ka small house kake.
Katika mazungumzo yake na Mh. Bernard Murunya (EAC elect MP) kwenye miida ya saa tisa hivi mchana, akawa ana mwambia kuwa amejiandaa vipi na kushangilia hiyo siku ya tarehe 02/05/12. Nikajiuliza siku hiyo kunanini, kumbe kulikuwa na jamaa kwa pembeni yangu alikuwa akifuatilia hayo mazungumzo ndipo akaniambia ndiyo siku ya hukumu dhidi ya ubunge wake. Nilijiuliza maswali mengi kama hii ndiyo aina za mahakama zetu kweli tumekwisha. Mengi yanayo fanyika mahakamani ni drama tu kwa walala hoi lakini si kwa wakubwa na isitoshe watawala.
I was shocked and very disappointed to hear this news na nikaona niwashirikishe wana JF wenzangu mtoe maoni yenu.
Nisingependa kumhukumu Makongoro japo yeye tayari inaonekana ana nakala ya hukumu kwa hiyo kauli yake lakini wengi wetu tulikuwa tunafuatilia hizi kesi lakini kati ya kesi zote, ya Mahanga imekaa vibaya kuliko ya mbunge yeyote.
Nawasilisha!​


You, fredmlay, Daudi mchambuzi and 3 others like this.



Reply Reply With Quote

Heri mabaraza yaSungusungu au Gacaca yanaonyesha haki kutendeka kuliko mahakama zinazotenda kwa matakwa ya watawala!
 
rais ateue mawaziri asiteue mawaziri hii shauri yake kwani sitegemei kupata waziri yeyote mzuri. kwa utamaduni wetu pale magogoni, rais atatakiwa na wenzake kuteua wabunge kutoka kwenye kapu lilelile la ccm ambalo ni sawa na kumtaka rais achague embe moja bivu kutoka kapu la maembe mabichi. matokeo ni dhahiri kila embe atakalochagua litakua bichi.
 
Ni vigumu kwa Lipumba
kuingia, kwa sababu si mbunge. Na hata akiteuliwa kuwa mbunge it means
Bunge la dharura liitishwe ili aapishwe (ubadhirifu wa pesa posho kwa
wabunge wote). Ni vigumu,, ongeleeni watu wengine

u have a point
 
TUME YA KATIBA NI SHARTI IONDOE HUU UTARATIBU WA 'HAKI MAHAKAMANI' KUCHUUZWA KAMA MITUMBA MNADANI LAA SIVYO VIBOKO MAKABURINI KWENU

Mzee Warioba, Prof Baregu, Prof Shivji, Dr Sengondo Mvungi,

mjue kilio cha WaTanzania kuwa kitu HAKI MAHAKAMANI ni msamiati mgumu haijawahi kufahamika hata siku moja kwa mlalahoi yeyote yule ila tu watawala na maswahiba wao kama huyu Makongoro Mahanga.

Kilio cha WaTanzania kuhusu HAKI MAHAKAMANI ni kilio cha haki na ni real plight of our beloved nation.

Hakika tunacholilia ni kwamba kimsingi katiba hii ya sasa kinalea UFISADI kwa kuwa NO CHECKS AND BALANCES AND EXPLICIT SEPARATION OF POWERS katika ngazi mbalimbali za utawala na hivyo kusababisha madaraka kupanda kichwani na kuzaliwa kwa huyu mdudu UFISADI bila hata ka-nafasi ka-kukimbilia wananchi kujilinda na WATAWALA WANYAKUZI kiasi cha CCM hivi sasa.

Executive arm of the government ikishaachiwa madaraka makubwa ya ku-manipulate bunge kupitia kwa wakala wake wanaofahamika hivi sasa ndani na nje ya CCM na vile vile kugeuza uteuzi wa majaji kuwa ni extension ya U-Kada wa CCM ndani ya tawi hili lingine la serikali ambalo ni idara ya Mahakama sasa hapo kinachofuatia ni WIZI KWA KWENDA MBELE.

Enyi waze wetu humo ndani ya Tume ya Katiba, kweli kabisa msipotufanya wananchi wa kawaida kumiliki madaraka na kuyadhibiti ipasavyo kwa wale tunaowakasimia kwa jina la watawala basi mjue kwa uhakika kwamba nafasi hii mkiiuza sisi vijana wenu makaburi yenu tutayacharaza viboko bila huruma.

Hatuna furaha hata kidogo na jinsi mambo yanavyoendeshwa kwa Executive kugeuza Judiciary pamoja na Legislative Council kuwa tu ni kama msichana wa kazi mjumbani hivi.


Member Array


Join Date : 6th November 2009
Posts : 49
Rep Power : 439
Likes Received15
Likes Given25


icon1.png
Makongoro Mahanga Kusema tujiandae kushangilia tarehe 02/05/2012 tafsiri yake nini?


Wana JF, leo katika pitapita zangu hapa Arusha nilikuwa kwenye hoteli ya New Arusha hotel ambako mh. Makongoro Mahanga alikuwa amefikia na ka small house kake.
Katika mazungumzo yake na Mh. Bernard Murunya (EAC elect MP) kwenye miida ya saa tisa hivi mchana, akawa ana mwambia kuwa amejiandaa vipi na kushangilia hiyo siku ya tarehe 02/05/12. Nikajiuliza siku hiyo kunanini, kumbe kulikuwa na jamaa kwa pembeni yangu alikuwa akifuatilia hayo mazungumzo ndipo akaniambia ndiyo siku ya hukumu dhidi ya ubunge wake. Nilijiuliza maswali mengi kama hii ndiyo aina za mahakama zetu kweli tumekwisha. Mengi yanayo fanyika mahakamani ni drama tu kwa walala hoi lakini si kwa wakubwa na isitoshe watawala.
I was shocked and very disappointed to hear this news na nikaona niwashirikishe wana JF wenzangu mtoe maoni yenu.
Nisingependa kumhukumu Makongoro japo yeye tayari inaonekana ana nakala ya hukumu kwa hiyo kauli yake lakini wengi wetu tulikuwa tunafuatilia hizi kesi lakini kati ya kesi zote, ya Mahanga imekaa vibaya kuliko ya mbunge yeyote.
Nawasilisha!​


You, fredmlay, Daudi mchambuzi and 3 others like this.



Reply Reply With Quote
 
... eti huyu huyu Makongoro Mahanga (na yale madhambi yake yote NHC) sasa ndiye Waziri mpya wa Fedha huyu, my foot!!!

Hili ni baraza lililoshindwa hata kabla ya kuwekwa wazi hewani. Wizi wa maboksi ya kura hadi kuhamisha kabisa hazina ya taifa pale Benki Kuu huyu jamaa.


naomba niseme kidigo juu ya hili


mafile ya hawa wafuatao yamefikishwa mbele ya mkuu wa nchi katika kumshauri hawafai kuwa ndani ya baraza jipya la mawaziri

1. steven masele

2.charles tizeba

3. makongoro mahanga
4. kigwangala hamis
5.dalali kafumu


kama atawateua basi ni yeye kajiamulia....ila ameshauriwa na pia ofis ya waziri mkuu na spika walituma ujumbe wakimtaka rais ateue mawaziri wenye uweo kwani wengi waliopo hawana uwezo wa kukabiliana na hoja na maswali ya wabunge bungeni....
 
Back
Top Bottom