Du sijui prof lipumba atakua waziri wa nini?
Du sijui prof lipumba atakua waziri wa nini?
kwani yeye mbunge wa wapi?
Yawezekana Makongoro Mahanga kuwepo ndani ya baraza jipya.
Yaani hujui kwamba ilikuwa inasubiliwa hukumu ya leo tu ili waendeleze sanaa zao, na kama hujui Makongoro anapewa Uwaziri kamili na sio unaibu.Yawezekana Makongoro Mahanga kuwepo ndani ya baraza jipya.
Mkuu humu JF kuna jukwaa la Jokes ni kwa nini usiende kule ili uwe comfotable?Mbunge wa tabora wa kuteuliwa na raisi
Yah inawezekana kabisa kwani ni mbunge halali..... hivyo anaweza kuwa waziriYawezekana Makongoro Mahanga kuwepo ndani ya baraza jipya.
Wana JF,
Habari za uhakika toka ndani kabisa zinasema kwamba JK ameita mkutano wa waandishi wa habari kesho asubuhi pale Ikulu. Hii ni wazi kwamba baraza la mawaziri litatajwa hapo. Hii ni uhakika kabisa.
Nawasilisha
yeuwii itabidi tuingie msituniYaani hujui kwamba ilikuwa inasubiliwa hukumu ya leo tu ili waendeleze sanaa zao, na kama hujui Makongoro anapewa Uwaziri kamili na sio unaibu.