Ikija niiteAnother new day
Ikija niite
leadermoe kitalembwa alubati Tyrone Kaijage ERoni naombeni samaree ya tatu za mwisho wakuu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz....
Mkuu ilikuwaje ukala ban? emu anzisha thread uweke episode kama tano au sita hivi, roho iliniuma sema sikua na namna ya kukusaidia cute.Kichaa ake Lovelovie Intelligent businessman nifikishie salamu Zangu za pole kwa sis akee jamani ! Acha hii story iishe tu kwakweli
Nilikua selo ndugu mjumbe naona kwa Big mambo ni bampa to bampa weka kigingi niweke jiwee weka ugoko niweke chumaaa malaika kageuka shetaniii haponi mtuuuu!! Bembela nukseee sana hauna mawasiliano yake nitoe watu uti wa mgongo kwanza???😂😂😂!Kiranja ulikuwa wapi!?
Jeshi la kukodi la Bembela aka Tanga Warner group limeiangusha ngome ya BIGI, maiti ya mtoto wa bigi imepotea mochwari na hamsini hamsini zake zimepotea kwa Mama Tarimo, Bembela kagonewa na matokeo anataka peleka ulozi kwa biashara.
What next mtoto wa Bigi atarudi kivingine? Bigi na mkewe wame dead au na wao watapotea kwenye gari ya baba mwenye nyumba, ndio tunaelekea hospital hapa ila [mention]SteveMollel [/mention] kaogopa kuoanda garini safari hii .
Acha tu mpendwa. kiukweli nilionewa mkuu thanks God ila lile nalo lishapita acha tumalizie vi episode vilivyobaki. kweli Big amepatikana! Naona Bembela ana usshhuunggguuu sio wa nchi hii! Anataka rithi mkoba wa Big eti😂!Mkuu ilikuwaje ukala ban? emu anzisha thread uweke episode kama tano au sita hivi, roho iliniuma sema sikua na namna ya kukusaidia cute.
Miss you shangazi wangu 😘😘... goja nimsome Big .. vizuri sana nilisoma kidogo ulivopotea na mie nkapoteaMjomba National Anthem kwa Big ni ulozi ulozii👽 mauzauza mwamwi huku hakuna vya kuwekana wala nenee!!
Miss you too mjombaa kule hadi march ndio ntafunguliwa! Isome story yaukweli sana yenye mafunzo ndani yakee!! Sema hii haina vile vitu vetuu uuuusssssshhuuuunngguuuu😄! Hapa Kuchawiana mwanzo mwisho!!Miss you shangazi wangu 😘😘... goja nimsome Big .. vizuri sana nilisoma kidogo ulivopotea na mie nkapotea
😅😅😅😅 goja niisome kwa kutulia nioneMiss you too mjombaa kule hadi march ndio ntafunguliwa! Isome story yaukweli sana yenye mafunzo ndani yakee!! Sema hii haina vile vitu😄! Kuchawiana mwanzo mwisho!!
Sauwaaa mjomba wee isome kwanza😅😅😅😅 goja niisome kwa kutulia nione
I guess episode inayofuata vyenyewe ndio ya mwisho mbivu na mbichi zitawekwa bayana, pole sana the platform has never been fair. Tuishi hivyo hivyo.Acha tu mpendwa. kiukweli nilionewa mkuu thanks God ila lile nalo lishapita acha tumalizie vi episode vilivyobaki. kweli Big amepatikana! Naona Bembela ana usshhuunggguuu sio wa nchi hii! Anataka rithi mkoba wa Big eti!
Heeeeeeeehhh kupita mlangoni na mlango umefungwa? Duuuuuhhhh! Dunia ina mauzauza sio poa mkuu!!Hata Mimi mkuu ninayo ila kusimulia sijui naanzia wapi
Maana moja ya vitu nilivyoshuhudia ni kumuona mtu anapita mlangoni Huku mlango ukiwa umefungwa, kuiona sura yangu kwa mtu mwingine, na aliyekuwa anafanya hayo yote ni mpangaji mwenzangu na ni binti tuu wa Makamo aliyefundishwa uchawi na mama yake mzazi
Mpaka sasa Kuna vitu bado vinanitesa walivyonitegeshea na vikanivagaa,
Pia mauzauza nyumba ambayo nilikuwa nafanya kazi maeneo ya masaki napo nilishuhudia mambo mengi sana yakutisha ingawa ktk ndoto ila kulikuwa na uhalisia, yaani humo ktk huo mjengo misukule kama yote.
Jamani hii Dunia Imeficha Siri za watu wengi sana, Kuna watu hawataki kujulikana kuwa wao ni waovu ndiyo maana wamevaa vazi la dini.