Wachaga wameacha hiyo biashara kwa wakereweMimi sio Nabii ila huyo jirani yako lazma atakuwa ana vinasaba vya Kilimanjaro. Hao ndio wataalam sana wa kugombea mipaka 🤣
Wachaga wameacha hiyo biashara kwa wakereweMimi sio Nabii ila huyo jirani yako lazma atakuwa ana vinasaba vya Kilimanjaro. Hao ndio wataalam sana wa kugombea mipaka 🤣
Huyu anayetumia ukuta wa mtu umuachie MITA mbili seriouslyKwenye kiwanja hutakiwi kujenga mwisho kabisa usawa wa mawe ya mipaka, unashauriwa uingie ndani walau mita2, mtu akikufuata huko means amevuka kiwanja chako, wewe umejengaje mkuu
We muache ajenge. Akisahamaliza unaweka urembo wa madirisha kwenye fence yako
Tena hakikisha unatoboa chumbani kwake.
After that eneo hilo unaeka spika kubwa. Kila ukilala unaunga bluetooth unapiga singeli
Hiyo sheria haipo. Kanuni zilizopo ni za setbacks ambazo zinaelekeza umbali unaotakiwa kujenga jengo lako kutoka kwenye mipaka ya kiwanja.Sheria zinasema hivyo, isipokuwa mazoea ya watu wengi yapo kinyume na hivyo. Sheria ni kitu kimoja na utekelezaji wa Sheria ni kitu kingine.
Kwa fensi haizuiliwi kujengwa kwenye mipaka ya kiwanja.Hiyo sheria haipo. Kanuni zilizopo ni za setbacks ambazo zinaelekeza umbali unaotakiwa kujenga jengo lako kutoka kwenye mipaka ya kiwanja.
Kanuni hizo hazihusu ujenzi wa fensi bali majengo na umbali wa kuacha sio mita 2 bali umbali unategemea upande, aina ya jengo na Ukubwa wa kiwanja.
Huyo jamaa mijnga tu, aje sumbawanga Majumba sita aone watu tulivyojenga.Kwani Kuna shida? Huwa ni kawaida tuu mkikubaliana badala ya kuacha chochoro zisizo na msingi.
Inawezekana ukawa mtu wa Mbeya wewe,nyie ni wabishi sana na wajuaji.
Kwel kaka nko nyuma ya kwa aesh apa watu wanaunga fens kwa fens hakun kuacha vchochoro vya kufugia weziHuyo jamaa mijnga tu, aje sumbawanga Majumba sita aone watu tulivyojenga,
Hakuna chochoro za kijinga
Serikali ya mtaa haipo hapo kwenu mkuu, hebu nenda kariport fastaWakuu habari zenu,
Nipo kwenye changamoto na jirani yangu hapa anayetaka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu. Upande mmoja na cha kushangaza analazimisha na Ujenzi umeshafikia level ya fensi sasa kimbembe anataka aongeze kozi kadhaa za tofali kwenye fensi yangu ambayo ninataka iishie hpo ilipo na niweke zile electric wire au urembo wa fensi ninao utaka Mimi.
Hivyo ananiharibia plan za kutengeneza fensi ninayoitaka Mimi, mbya zaidi Niko mbali na nyumbani, kwani nyumba nimeijenga huko kanda ya ziwa na Mimi Niko hapa mjin Dar. Ninapomuambia asubiri nirudi ili nione anachotka kufanya anakuwa haelewi...
Kwa mazingira haya nashindwa kumuelewa kabisa kwani kama kiwanja anacho kikubwa kuliko Mimi. Hebu nishaurini maana ugomvi sipendi lakni naona ananichokoza to the maximum.
picha iko wapiWakuu habari zenu,
Nipo kwenye changamoto na jirani yangu hapa anayetaka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu. Upande mmoja na cha kushangaza analazimisha na Ujenzi umeshafikia level ya fensi sasa kimbembe anataka aongeze kozi kadhaa za tofali kwenye fensi yangu ambayo ninataka iishie hpo ilipo na niweke zile electric wire au urembo wa fensi ninao utaka Mimi.
Hivyo ananiharibia plan za kutengeneza fensi ninayoitaka Mimi, mbya zaidi Niko mbali na nyumbani, kwani nyumba nimeijenga huko kanda ya ziwa na Mimi Niko hapa mjin Dar. Ninapomuambia asubiri nirudi ili nione anachotka kufanya anakuwa haelewi...
Kwa mazingira haya nashindwa kumuelewa kabisa kwani kama kiwanja anacho kikubwa kuliko Mimi. Hebu nishaurini maana ugomvi sipendi lakni naona ananichokoza to the maximum.
Tutake radhi mkuu mbona Kama unatukana mkoa mzima kwa sababu ya mtu mmoja..!!?Kwani Kuna shida? Huwa ni kawaida tuu mkikubaliana badala ya kuacha chochoro zisizo na msingi.
Inawezekana ukawa mtu wa Mbeya wewe,nyie ni wabishi sana na wajuaji.
Zinaungana kama mabehewa ya kuelekea Kigoma?🤔Je kuhusu Fensi?
Fensi nayo uache mita mbili kila upande?
Mbona naonaga Fensi za watu (Mikocheni, Masaki) zimeungana
Unyama unyamaWe muache ajenge. Akisahamaliza unaweka urembo wa madirisha kwenye fence yako
Tena hakikisha unatoboa chumbani kwake.
After that eneo hilo unaeka spika kubwa. Kila ukilala unaunga bluetooth unapiga singeli
We muache ajenge. Akisahamaliza unaweka urembo wa madirisha kwenye fence yako
Tena hakikisha unatoboa chumbani kwake.
After that eneo hilo unaeka spika kubwa. Kila ukilala unaunga bluetooth unapiga singeli
Aaah!Kwani Kuna shida? Huwa ni kawaida tuu mkikubaliana badala ya kuacha chochoro zisizo na msingi.
Inawezekana ukawa mtu wa Mbeya wewe,nyie ni wabishi sana na wajuaji.
Kwanini watu wa Mbeya mnatuita wabishi na wajuaji ?Kwani Kuna shida? Huwa ni kawaida tuu mkikubaliana badala ya kuacha chochoro zisizo na msingi.
Inawezekana ukawa mtu wa Mbeya wewe,nyie ni wabishi sana na wajuaji.