Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Hivi gmail na google mail ni sawa? Mi nina gmail a/c,ntawezaje kutuma sms?
Sasa mbona mimi kwenye simu yangu inanizingua? Mara nyingi nikituma sms inabakia kuandika sending lakn hamna kitu kinachoenda. Mara nyingine inaishia kustack had nizime simu. Tatizo litakuwa ni nini?