WanaJF na wataalam wa afya ya ngozi nisaidieni Hili, nmekuwa na madoa mengi Sana USONI baada ya chunusi na vipele kuvikuna na kupona, nimejihisi pengine nitakuwa na upungufu fulani mwilini mwangu kwa sababu mwanzo nilikuwa napona na nilikuwa sibakiwi na doa jeusi, sasa hivi vinabaki vingi Sana, na Je, nitumie dawa gani Ili kuondoa MADOA hayo meusi usoni kwangu?
Watalamu wa afya ya ngozi na afya KWA ujumla naombeni mnisaidie jamani.
Watalamu wa afya ya ngozi na afya KWA ujumla naombeni mnisaidie jamani.