Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,482
toa sifa za jini umtakaeNataka jini nani Ana uwezo
toa sifa za jini umtakaeNataka jini nani Ana uwezo
tukuone wapi mkuuFaida Na Hasara Kwa Anaetaka Kuzijua Anione.
Rakims
hapa hapa kwenye huu uzi,tukuone wapi mkuu
mimi pia nahitaji kufahamu kiongozihapa hapa kwenye huu uzi,
yupo ila ana masharti ndugu sidhani kama utamuweza na wale wengine wastaarabu wasiokuwa na masharti hii kitu huwa hawapendiNataka jini lenye uwezo wa kunitafsiria mkeka yangu ya kubetiiiiiiii
Daaah...mkuu nime ku PMyupo ila ana masharti ndugu sidhani kama utamuweza na wale wengine wastaarabu wasiokuwa na masharti hii kitu huwa hawapendi
Rakims
Ngoja Nitakuona Maana Bado Napiga Gumzo Kwenye Hizi Nyuzi Zangu Zote....Daaah...mkuu nime ku PM
Okokeni achenii mambo haya ya urozii, mrudieni Mungu
Naomba niku pmtoa sifa za jini umtakae
Nataka mwenye kunoma hellatoa sifa za jini umtakae
Hiyo mishumaa miekundu kupatikana kwake n wapi
Mmmhh, napita