hujagundua kuwa huyu ni mganga na anatafuta wateja humu eti kupendwa kazini, kupendwa kimapenziMhhh,haya makubwa!!Hangaika yote hiyo ya nini Mkuu.. Fanya kazi wewe,wacha mambo ya dunia,Kumbuka wewe ni mtu wa kufa tuu,hata ufanyaje,lazima ufe tuu.. Ukilijua hili,basi huna haja ya kuhangaika kiasi hicho.. Humu Jamii hamna wanasaikolojia wampe ushauri huyu ndugu yetu?
Hamjabo nyote. Mie ni mkenya na nilivutiwa sana tena sana na mada hii ya mcheza karate na nduki.nimejiunga na jamii forums kwasababu ya mada yao ya kuelimisha kweli.tafadhali naomba mcheza karate na nduki mweze wasiliana nami kwa mutuakamali@gmail.com nahitaji tuweze kuongea privately asante.
Hamjabo nyote. Mie ni mkenya na nilivutiwa sana tena sana na mada hii ya mcheza karate na nduki.nimejiunga na jamii forums kwasababu ya mada yao ya kuelimisha kweli.tafadhali naomba mcheza karate na nduki mweze wasiliana nami kwa mutuakamali@gmail.com nahitaji tuweze kuongea privately asante.
This is crazy !!!!! Nimepata woga wa ghafla mkuu
Asante sana mkuu
Achen unafik jaman...sasa unakemea nn jaman...kwanza imekuaje hadi umekuja kusoma humu na kuifungua hii thread...ndo mana kukawa na headig means kua unaposoma headings ukiona haikufai haina haja ya kuifungua la sivyo kungekua hakuna haja ya kua na vichwa vya habari. Duuh. Uelewa mdogo.yesu wangu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
SHINDWENI....:tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape:
Mkuu nduki nime ku pm...Okay fine...!
Achen unafik jaman...sasa unakemea nn jaman...kwanza imekuaje hadi umekuja kusoma humu na kuifungua hii thread...ndo mana kukawa na headig means kua unaposoma headings ukiona haikufai haina haja ya kuifungua la sivyo kungekua hakuna haja ya kua na vichwa vya habari. Duuh. Uelewa mdogo.
tupooo... Ila hii hapana mkuuwale wapenda avatar MPO!pendeni na hii sasa
opic: Naombeni ushauri wenu sababu nahisi kifo
kinaninyemelea cc mcheza karete
M18 23:22 Today
habar jmn,
Mimi ni mvulana 28yrs, issue ni hii, ninamchumba wngu
ambaye nimeshalipa gharama ya mahali km robo 3 ila
cku hz nipo karbu sna na hyo mchumba wngu, cku moja
alikuwa ananithimulia maisha yke,kitu kilichonitisha
amesema yy kuanzia 2014 anaishi na Jini subiani
naikipita cku hajaswali bac ucku yule jini anamtokea na
anasex nae,kubwa zaidi hyo jini ndiye aliyemtoa bikra
cz akisex nae asbh anakuta mbegu ukeni na miezi
michache iliyopita Jini alikuwa anambembeleza Amuoe
ila bint amekataa, sasa hii kitu mi inanitsha sna cz
nahic km hyu jini ata nimaliza mimi cz atajua ndo
sababu ya yy kukataliwa. ushauri wenu cz niliplan
tufunge ndoa mwz 3 mwkani