Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,265
Mademu wanaojifanya ni wataalam wa kuelezea, kunako bed hamna kitu. Niliwahi opoa mmoja, tukiwa bado maeneo ya starehe mbwembwe zilikuwa nyingi saaaaaaaaaaaaana. Akushike, akubusu, baby nyiiiiiiiiiiingi, hizi zote ziliisha alipoingia rum. Kam gogo vile tena anakuna na nywele busy, hana tyme na kinachoendelea. So maneno si matendo.
Mwenzio alikuwa kibiashara zaidi.
Unataka akuoneshe maufundi ili umgande wakati kuhonga kwenyewe hamhongi!