Jinsi ya kum block mtu asikupate kwenye mitandao ya simu

Mkuu, je unafahamu ya kublock namba fulani tu?

Kwa kifupi nyingi ya simu tutumiazo hazina uwezo huo but NI BAADHI TU YA SIMU ZINA APPLICATION HII.
Mfano wa simu ni TECNO ambayo wengi wanazifahamu, pia si zote zinafanya japo application yenyewe inakuwepo.
Simu nyingine yenye uwezo huu ni MICROMAX (Hizi zinauzwa maduka mawili tu jijini Dsm), this is the best in this application. Zaidi ya hapo ukiweza kukagua simu zenye "BLACKLIST APPLICATION" kwenye soko au mtandao.
 
Ni kweli kwa smasung hii ni mwisho wa maneno. Mtu akipiga wewe unaona mwanga tu kwa screen yeye ana ambiwa simu iko busy mpaka hamu itakapomwisha ata acha kukusumbua.

samsung yangu nareject call na pia nablock msg hata ikiingia haiji kwenye inbox inaingia kwa spasm.
 
muda umefika watu muachane na ma nokia & buy a real phone ... iphone au Android os .. ambapo kuna APP inaitwa Mr number .. inakufanyia vitu vyote utakavyo
 
Herzlich willkommen in Tansania! Kommen Sie und sehen wundervolle Dinge ooh das ist wirklich erstaunlich! TANSANIA, DEMOKRATISCHE REPUBLIK
 
kama watumia symbian s60 weka netqin communication master then weka namba unazotaka kuziblock kwisha kazi.
 
Mkuu Mtambuzi bado hujakoma tu? Au tuwatafute wazee wa Ununio wafufue kesi?
Hata sijaelewa mkuu, hebu toa hilo darasa maana hata mimi kuna KIMEO kinataka kuniletea kisirani kwa mama Ngina, nataka nikate mzizi wa fitina.............................
 
Kumbukeni watu wana No tofauti
Isitoshe anaweza kukutafuta kwenye No za vibandani au kwa mtu mwengine na zoezi lote likawa zilo
 
Mkuu, je unafahamu ya kublock namba fulani tu?

mhalisi kama unatumia BB nenda kwenye App world alafu download blacklist pale then unadondoshea namba zako unazoziblock na siku ukizitaka zikupigie unazitoa, rahisi sana. Wabongo ni wasumbufu hawajui kusoma alama za nyakati
 
Last edited by a moderator:
mhalisi kama unatumia BB nenda kwenye App world alafu download blacklist pale then unadondoshea namba zako unazoziblock na siku ukizitaka zikupigie unazitoa, rahisi sana. Wabongo ni wasumbufu hawajui kusoma alama za nyakati

nakushukuru sana Suzie
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kwa smasung hii ni mwisho wa maneno. Mtu akipiga wewe unaona mwanga tu kwa screen yeye ana ambiwa simu iko busy mpaka hamu itakapomwisha ata acha kukusumbua.
Akituma sms inakupa kiulaiiiiini.
 
samsung galaxs callsetting,all,autoreject,enable auto reject,auto reject list unabonyeza menu creat hiyo no unayotaka block au hiyo cm akikupigia una hold hiyo no itakupa option add to reject inaserviwa moja kwa moja yale macm ya matangazo ya zntel nimebrock kmno 20 ule usumbufu umepungua
 
Hata mimi inaniambia hivyo hivyo!!!
hiyo 0000 ni security code ya simu kama imekataa maana yake hiyo siyo security code ya simu yako ichunguze security ya simu uliyoweka kama inakugomea jaribu 1234 kwa baadhi ya simu za nokia kifupi 0000 ni security code ya simu yako tafuta kutambua security code ya simu yako kwanza
 
Hata mimi inaniambia hivyo hivyo!!!
hiyo 0000 ni security code ya simu kama imekataa maana yake hiyo siyo security code ya simu yako ichunguze security ya simu uliyoweka kama inakugomea jaribu 1234 kwa baadhi ya simu za nokia kifupi 0000 ni security code ya simu yako tafuta kutambua security code ya simu yako kwanza
 
Nimesoma nimeambulia patupu mi kuna mtu ananusumbua kweli nataka nimblock SMS na calls zake zisije kwangu
 
Back
Top Bottom