Tizo sio kila ugonjwa wa simu ni mpaka u flash matatizo makubwa ya simu nokia 1280 na 1202 ni contact service na white display.mala nyingi ugonjwa huo huja kutokana simu kudondokewa na aina yoyote ya kimiminika.maji,pombe,chai,mafuta nk. Kama simu yako unahisi itakuwa imedondokewa basi elewa tiba yake sio ya kuflash.
kiongozi upo?
tatizo lako linaweza kutatuliwa kwa njia 2 software au hardware ila vizuri kuanza na software kwanza kama upo dar ni pm