Jini mahaba ananipa mambo

Vipi limeshatoka au umeamua uendelee kkukaa mkao wa tule monde posishooo
 
Vipi limeshatoka au umeamua uendelee kkukaa mkao wa tule monde posishooo

mimi sitaki ushauri wa kulitoa ,nimewauliza kama lina madhara au hlina na kama lina madhara nifatnye mbinu gani /solution ili liendelee kubaki bila ya madhara yoyote?
 
mimi sitaki ushauri wa kulitoa ,nimewauliza kama lina madhara au hlina na kama lina madhara nifatnye mbinu gani /solution ili liendelee kubaki bila ya madhara yoyote?

Makubwa kwa hiyo kumbe unalipenda na wewe kumbe hujatulia sasa ushauri wa nini kama ulitaka kubai nalo? ok all the best
 
NJOO UFANYIWE MAOMBEZI Ndugu. Adhawaizi hiyo damu au ndugu/mtoto wa karibu au Mzazi wako au yoyete unaempenda sana ni mali yake siku yoyote, wakati wowote.
 
Kwa sababu hutaki kumtoa nendeni mkapime ili ujue kama ana maradhi au la.
 
Kaa chonjo na mahaba hayo! kama kwa Babu wa Loliondo kuna msururu mrefu sana nenda Sumbawanga. Sjui unaishi wapi na huyo jini ? Siku moja utashangaa hiyo nanhhii haipo! Na hapo ni sehemu ya maisha! pole sana.:confused:
 
NJOO UFANYIWE MAOMBEZI Ndugu. Adhawaizi hiyo damu au ndugu/mtoto wa karibu au Mzazi wako au yoyete unaempenda sana ni mali yake siku yoyote, wakati wowote.
toa uongo hapa,una uhakika ueona au unanitisha tu hapa..stari stori za gahawa hapa
 
Kaa chonjo na mahaba hayo! kama kwa Babu wa Loliondo kuna msururu mrefu sana nenda Sumbawanga. Sjui unaishi wapi na huyo jini ? Siku moja utashangaa hiyo nanhhii haipo! Na hapo ni sehemu ya maisha! pole sana.:confused:

blah blah
 
hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa

Je, wanazaa na wanadamu? Kama ndio, wanaingia labour room?!
 
Back
Top Bottom