BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 956
Je, wanazaa na wanadamu? Kama ndio, wanaingia labour room?!
Kemea hiyo hali kama unapenda basi wewe poz tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, wanazaa na wanadamu? Kama ndio, wanaingia labour room?!
gaga wewe unasali wapi twende wote?Makubwa kwa hiyo kumbe unalipenda na wewe kumbe hujatulia sasa ushauri wa nini kama ulitaka kubai nalo? ok all the best
Jini ndie lucifer,hawa ndio viumbe vya Mwanzo kuja humu duniani kabla ya Binadamu,kwenye kitabu kimoja ch dini huwaita MAJITU.hata wanasayansi wa chuo kikuu cha MASSACHUSETTS nchini marekani walifanya utafiti wao na kuuchapisha kwenye kitabu walichokiita"the mystery planet"mwaka 1989,ukisoma hicho kitabu utagundua Kuwa majini ni viumbe waliopata kuishi kimwili na kiroho hapa duniani,sababu ya wao kutoonekana kirahisi siku hizi ni kwa ajili ya kujihami,asili imewabadilisha baada ya mwanadamu kuiteka dunia!
kaziii kwelii kweliii..hivi majini mahaba ni story za kweliii
Mkuu Saint Ivuga Rafiki yangu Pole sana jaribu kutumia hii dawa ikishindikana wasiliana na mimi kwa njia ya Email yangu address hii fewgoodman@hotmail.com nitaweza kukusaidia fanya hivi: kila siku usikugaga wewe unasali wapi twende wote?
Mkafunge ndoa mzae watoto, kwa sasa tumieni kondom hadi mtakapopima
Fafanua kidogo huwa inakuwakuwaje ili wataalamu tukueleweshe, isije ikawa ni nightmare za kawaida tu halafu ukadhani ni jini mahaba.hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa