Jamani WanaJF ushauri naombeni maoni yenu.
I will be 27 by November niko na mtu anaenijali Sana Sana, he loves me kwakweli lakini eti mzazi wangu hususani baba hamtaki sababu ni muisilam na kabila yake na eti sababu hajasoma lakini ni mtu na biashara zake na maisha yake anajiweza tu.
Jamani baba yangu hamtaki, hataki kutoa ridhaa anioe hataki kuniozesha kwake hataki nibadili dini anatamka maneno ya laana sana kama mimi nitakua nae yaani anaongea mpaka anapitiliza na mimi nimeridhia kuwa naye yule mtu kuanzia tabia hadi mwenendo wake, na hata kufuata dini yake, na sina sababu ya kuachana nae hajanikosea Wala sijamkosea mtu wawatu jamani.
Hivi mkiangalia mzazi wangu ananitendea haki kweli au anataka nizeekee nyumbani nifanyeje jamani mimi nipo kwenye Wakati mgumu sana, naombeni ushauri wenu.
I will be 27 by November niko na mtu anaenijali Sana Sana, he loves me kwakweli lakini eti mzazi wangu hususani baba hamtaki sababu ni muisilam na kabila yake na eti sababu hajasoma lakini ni mtu na biashara zake na maisha yake anajiweza tu.
Jamani baba yangu hamtaki, hataki kutoa ridhaa anioe hataki kuniozesha kwake hataki nibadili dini anatamka maneno ya laana sana kama mimi nitakua nae yaani anaongea mpaka anapitiliza na mimi nimeridhia kuwa naye yule mtu kuanzia tabia hadi mwenendo wake, na hata kufuata dini yake, na sina sababu ya kuachana nae hajanikosea Wala sijamkosea mtu wawatu jamani.
Hivi mkiangalia mzazi wangu ananitendea haki kweli au anataka nizeekee nyumbani nifanyeje jamani mimi nipo kwenye Wakati mgumu sana, naombeni ushauri wenu.