Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #101
Mtegeshee kamera ya video. Wakati anakupa uleda kamera itakuwa inarekodi, halafu pachika Youtube na tuwekee hapa.
poa,nitajaribu hii kitu....
Mtegeshee kamera ya video. Wakati anakupa uleda kamera itakuwa inarekodi, halafu pachika Youtube na tuwekee hapa.
Me namtaka aweza kuja kwangu
mimi nataka kujua kama ana madhara ama vipi? Kama hana itabidi niende naye maili ndefu
asante dear
mimi nataka kujua kama ana madhara ama vipi? Kama hana itabidi niende naye maili ndefu
madhara yapo la kwanza tayari limeshakuharibu kisaikolojia
hujiulizi unafanya mapenzi na mtu humwoni humjui amefanana vipi
na wewe inaonekana unapenda sana wala hatakuacha kabisa
madhara ya mwisho anakuua
</p>Nafikiri hujaelewa maana ya imani...</p>
<p>Majini pia ni imani kwa kua hayaonekani hvyo watu wanayasikia kupitia maandiko matukufu...na ndipo zinapopatikana hizo habari.</p>
<p>Mashaytwan kama huelewi maana yake ...naomba urejee huko nyuma ndani ya hii topic utakuta tu.</p>
<p>Pia siku nyingine kama hujui kitu uwe unauliza sio kutengeza ukingo wa kukanusha.</p>
<p>Sisi waumini wa uislam tumefundishwa kuuliza kuliko kueleza usiyo yajua...</p>
<p>Hatuna falsafa za kila mtu....hilo ndio huathiri watu wengi ambao hawafuati njia (dini) sahihi.
Hilo ni pepo, haraka sana tafuta msaada wa maombi {Tafuta msaada wa maombi haraka sana (sikutishi)}. Haya majini mahaba yana madhara sana, yanaweza kusababisha "jongoo asipande mtungi" unapokutana na binadamu wa kawaida. Yanaleta mifarakano katika ndoa na kuvunja mahusiano.
Yesu Kristo ni jibu la hilo tatizo lako.
Take care!
huyo ni jini mahaba au popobawa??
Ndg Yesu tu aweza kukuponya na huyo jini Mahaba, ukiombewa kwa Jina la YESU atatoka hatarudi tena.
kwa hiyo kumbe kuna possibility ya kuzaa naye...basi kama ni hivo watoto si watamfuata baba? i mean watakuwa ni binadamu wa kawaida tuPole shetani hana namna ya kujidhihirisha katika ulimwengu huu isipokuwa wanadamu wanaomkubali wakimsaidia. Na huyu jini si kwamba anatafuta ngono bali anatafuta roho yako. Kwa majambazi huwapa dawa ya kuwasaidia wasikamatwe, kwa washirikina huwapa dawa za uchawi kwa wazinzi huwapa hali ya kufanya ngono. Mradi tu awakamate na kuwateka. Baadaye hutaweza kuoa mwanadamu kabisa na ukithubutu hutaweza kuwa na nguvu ya kiume kukutana na mwanadamu na huyu mwanamke atadhuriwa na hilo jina. Mnawaweza kuzaa na hilo jini lakini watoto si wanadamu ni roho zisizoonekana. Kwa kawaida baadaye watakudai makafara na au kutaka kukufanya go between kati ya majini na wanadamu kutimiza matakwa yao katika ulimwengu wa wanadamu. (kwa maneno mengine uwe teja la majini) Utaanza kusikia mwili wako unakuwa mzito na wakati mwingine utakuwa unahisi mambo ambayo wengine hayaoni lakini yanakutesa nafsi yako. Njia ya kuondokana na hilo jini kama ukitakata ni kukimbilia kwa Yesu na kuomba msamaha kwa kufurahia ushirika huo na mapepo. Kisha yatakemewa na kukutoka kwa jina la huyo Yesu. Otherwise utakaa nayo hadi mwisho wako duniani. Nawasilisha
Hebu muulize yule jamaa MAJIMOTO,mwenye avatar ya jicho,nadhani ni mtu muafaka kwako ili huyu jini asije akakufanya ukose mambo.hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa
Sasa kiti moto ndo itavunja kabisa ndoa yenu. Usirudie tena tuna mwombe radhi mpenzi wako jini
Hebu muulize yule jamaa MAJIMOTO,mwenye avatar ya jicho,nadhani ni mtu muafaka kwako ili huyu jini asije akakufanya ukose mambo.