mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
piiiiqa kazi kaka usimwache huyo bibie............................
Hivi haya majini mahaba yako kwa waafrika tu au kila mahali!!!
hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa
Uhusiano wowote kati ya m wanadamu na jini huisgia kwa mwanadamu kufa kwa kunyonywa damu hivyo usifurahie sana SIKITIKA MNO uko njia panda ya KIFO na UZIMA.
Ushauri wangu:
Nenda kwa watumishi wa Mungu waliokoka wakakufanyie maombi uwekwe huru kwani kwa sasa umefungwa usifikiri uko salama.
Dah, Ivugaaaaaaaaaaaaaa!!!
Kwa nini lakini?
Halafu ivuga be specific about styles unazotumia kufanya mapenzi na jini. Some of them huwa majini hayapendi. I am speaking from experience mdogo wangu.
naskiaga yanakuwaga warembo kweli...
hongera.:ballchain:
piiiiqa kazi kaka usimwache huyo bibie............................
mkuu we acha tu sasa sijui kuna mtu kanitupia au imetokea tu au sijui kwa vile napiga gym sana hata sijui. Ila kuna sku man nilipiga kiti moto hakuja kabisa ile jioni yake akapotea sema kesho yake akaja usku akaniamsha akanikaba kinoma .....sasa sijjajua kuna connection yoyote manake amra mbili zota nimepiga mdudu na demu hakutokea anakujaga kesho yake na akija ananikabaga kinoma kama jinamizi .. Da nyie acheni tu!! Bora usimuliwe tu hivi hivi
hii stori ni ya kweli jamani, hataki niwe na demu ,kila nikipata demu sikai nae ,sasa niendelee na huyu jini mahaba au nifanyeje? Ushauri jamani sio mzaha na hawa jini mahaba hawana magonjwa kama kaswende ukimwi kisonono au kichocho? .. Nipo njia panda jamani hapa
Sasa kiti moto ndo itavunja kabisa ndoa yenu. Usirudie tena tuna mwombe radhi mpenzi wako jini
Ivuga umeanza kuhudhuria darasani pale magomeni kagera??:hatari: