Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,887
- 94,227
- Thread starter
- #21
Of course......ndio jimbo la lusinde ?
Of course......ndio jimbo la lusinde ?
Du JF kuna mambo, hivi ni mavazi yake ya kila siku? Kweli wananchi wa mtera ccm ipo damuni hivi hawa ccm ndiyo wanawalisha, mbunge lusinde matusi kama kawa, diwani kama mcheza shoo tena wa zamani enzi za loketo!!!
Huyo ni mchekeshaji au ana brain concussion?
Mkuu ni kweli tupu huyo bwana ni Diwani kwenye jimbo la Mtera, mimi sifanani na Pasco kuleta habari nusu nusu na za kusadikika.