Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 407
- 133
hili ndilo jiji ambalo limekuwa likiongoza kwa usafi miongoni mwa majiji yote hapa nchini kwa miaka
kadhaa mfurulizo
.
Na hapa ni mtaa maarufu wa makoroboi ambapo wananzengo (wananchi) wakifanya biashara zao huku kukiwa na uchafu mwingi pembeni ya biashara hizo.
maswali ya kujiuliza hapa ni kuwa:
je, hao wanaotupa huo uchafu hapo chini hawalioni hilo sanduku la takataka....???
je, jiji kwa nini inawachukua muda mrefu bila kuondoa hizo takataka....????
kwa nini jiji waruhusu kuwepo kwa jalala katikati ya biashara ya watu...???
je, bwana afya wa jiji huwa anapata hata nafasi kidogo ya kutoka ofisini mwake na kuzungukia maeneo ya kati ya jiji ili kujionea hali ya usafi...???
kadhaa mfurulizo
.
Na hapa ni mtaa maarufu wa makoroboi ambapo wananzengo (wananchi) wakifanya biashara zao huku kukiwa na uchafu mwingi pembeni ya biashara hizo.
maswali ya kujiuliza hapa ni kuwa:
je, hao wanaotupa huo uchafu hapo chini hawalioni hilo sanduku la takataka....???
je, jiji kwa nini inawachukua muda mrefu bila kuondoa hizo takataka....????
kwa nini jiji waruhusu kuwepo kwa jalala katikati ya biashara ya watu...???
je, bwana afya wa jiji huwa anapata hata nafasi kidogo ya kutoka ofisini mwake na kuzungukia maeneo ya kati ya jiji ili kujionea hali ya usafi...???