CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
kwan kenya wamefika vigezo gan had waruhusiwe kuuza ebay??
Nadhani ni makubaliano tu kati ya paypal na banks za huko, sisi nadhani milolongo ni mingi!
kwan kenya wamefika vigezo gan had waruhusiwe kuuza ebay??
Nadhani ni makubaliano tu kati ya paypal na banks za huko, sisi nadhani milolongo ni mingi!
Nahisis lazima kuna mtu alifacilitate haya yote kufanyika. Bongo sijui tunaanzia wapi??
wao paypal ndiyo wanatakiwa kuingia agreement, huenda kuna kikwazo upande wa taasisi zetu! sina uhakika lakini mkuu, nadhani tunatakiwa tuendelee kuwasumbua paypal
Naona wanakaribia kunifungia. kila siku nasumbuana nao lakin wanaishia kuniambia regulations za Tanzania wanasumbua
Ndiyo maana mi sasa hivi naangalia ustaarabu kufungua akaunti Kenya au Rwanda, hapa Tanzania miyesyusho Mkuu tunakosa fursa!
Inabidi uwe na account inaitwa paypal ambayo pia itabidi uwe na account ya bank yenye uwezo wa online purchase kama barclays,dtb ukiwa na account huko ndo unaweza kufungua paypall account
Yap jitahidi kuweka adres ya posta inayopatikana ili mzigo ukifika uende adres ya ukweli
Kuna mitandao ambayo inakuwezesha kununua bidhaa electronicaly yani kwa kutumia account yako ya benk ambayo imesajiliwa na huduma inaitwa paypal,ukiwa na hiyo account unaweza kununua chochote au hata kuuza chochote online mfano mtandao wa ebay au amazon chochote utakachonunua makato yatatoka kwenye account yako ya bank ambayo pia inabidi uwe na pesa kama vile mfano ukiwa unanunua luku kwa mpesa lazima uwe na pesa.hope maelezo yamesaidia kidogo kama unahitaji maelezo zaidi uliza tu
Jaman I have a QN huvi kuverify card yako katika myus.com unakatwa being gan? Cuz nimeona watakurefund and that's okay to me but kuna mtu yoyote humu amewai kuvrlerify akaona amount wanayo ichukua ili niandike waweze kuverify sabab I can't pay bila kuverify And naona kama wamesha ship mzigo wangu via FedEx wakat bado cjawalipa Hela yao eti kuna baya lolote linaweza kutokea? Cz cjawalipa Hela bado and was wameship tayari
Basi Card haina hela ndo maana hawajaweza kata hela lkn ile point wanaship wanakata hela yao kwenye card iwapo haina hela watakutumia email kwamaba either ukikishe card iko sahihi au uhakikishe kuna credit