eliasy
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 455
- 53
Wakuu vipi kuhusu bidhaa kutoka Hong Kong? Nimejaribu kucheki bidhaa kama simu za mkononi nyingi ninazokutana nazo ni from Hong Kong. So napenda kuja hizi bidhaa ndo zile za kichina au vipi?
pi napenda kujua ni kampuni gani ya usafirishaji iko vizuri ktk kuleta bidhaa hapa kwetu bongo? yani kuhusu maswala ya bei na uchukuaji wa mizigo pindi inapofika ofisini kwao. kuna usumbufu wowote au ndo vipi?
pi napenda kujua ni kampuni gani ya usafirishaji iko vizuri ktk kuleta bidhaa hapa kwetu bongo? yani kuhusu maswala ya bei na uchukuaji wa mizigo pindi inapofika ofisini kwao. kuna usumbufu wowote au ndo vipi?