eliasy
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 455
- 53
Just kutoa feedback jaman,tarehe 9 last month nilishukuru kwa michango ya watu kwenye hii thread na nilifanya transaction 2 kwenye aliexpress hatimaye jana nikapigiwa simu kuwa kuna barua yangu imefika lakini haina anwani(yaani p o box) nilijaza tu jina la mtaa ,mji,jina pamoja na namba ya simu.after 2 hours nilapata simu nyingine kuwa kuna mzigo umefika hii ni simu ya LG niliagiza kwenye website fastcardtech.com tarehe 11 june nao nikauchukua japo huu wa pili walidai kitambulisho na walihitaji kusain maana ni registered mail kwahiyo nasubiri tu usb moja toka aliexpress ambayo ni regular mail siwez ku itrack but walau nimepata matumaini.vifaa vyote vinafanya kaz poa kabisa.Big up chinese kwenye e-commerce wako vizuri.Kwa bigginers atleat hii itakuwa helpful kwenu.vitu yenyewe ndo hivo kwenye attachment
Hiyo LG ulichukulia katika mtandao gani? Na ni muda gani imechukua kufika dar?