Peeeeeennnnny my shem.....siyo vizuri bana namna hiyo....yaaani unaadimika kuliko hata almasi.....usipotee kihivyo bana. Na Cuppy yupo tena alikuwa anakusalimia.....
Nilitoa email yngu but kmya cjakuta hta email moja ok ngoja niwape tena kokudopeter42@yahoo.com
ahh mweeeeeeeeeeee kumbe kuonana tu basi ..MAMBO KUSHNEI?lazima watakuwepo mana watu walishaonana live unatarajia nn
Etii eep: wamo:caked:wanao nanihino ?? Au kunanihiliana ?? Yaani mnakutana kwa ufupi mmeanziaa hapa JF na kuendeleza huko nje kikamilifu ? kupependana mapenzi yaani natumai mmenielewa .
duuh labda wapo inawezekana
Mimi nilishakutana na mwa jf kama nilivyo hadithia mwanzo alipita nyuma yangu akaona page imeandikwa jf akaniuliza wewe ni mtz??ndonikamwambia ndiyo akasema na yeye ni member wa jf hivyo kwa user name ya katerero yeyekwakuwa alikuwa mwenyeji wa hapo ROME ITALY akawa mwenyeji wangu zaidi niliandika kilichojili thread iliitwa VIVA JF TAFUTA UTAONA NINI KILIENDELEA.Namushukuru Katerero!
Unapenda mitindo ya nywele wewe mama haya bana
Hii mada naiangalia kwa machale sana... we mwiba sijui nani kakutuma kuja kupekenyua mambo humu?
Hii mada naiangalia kwa machale sana... we mwiba sijui nani kakutuma kuja kupekenyua mambo humu?