William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #341
[[ITS not about knowing him-the crux of the matter huyu jamaa kashusha sana nondo humu JF-hiyo atuwezi ku argue
- Sijashusha anything zaidi ya kuwa me na always mkweli ndio kawaida yangu, kwa kuwa hunijui kwa karibu ni haki yako kusema anything ila wanaonijua kwa karibu they know me huwa sina unafiki ni straight to the line!! wewe ulikuwa hunijui tu!!
Le Mutuz