basi kesho nitamtuma dereva wangu atakuja na li jaguar langu jipya and he will be in uniform (mpaka gloves),aku pick saa ngapi?Yani wewe. . . .
Badala ya kusema utakuja kunichukua unipeleke lunch unasema nikufuate sijui nikukute? Kweli u-gentleman KIPAJI!!
basi kesho nitamtuma dereva wangu atakuja na li jaguar langu jipya and he will be in uniform (mpaka gloves),aku pick saa ngapi?
(btw umeona mambo ya AD lakini?mpe tahadhari kuwa atantoa roho jamani).
unantega,unataka niuawe?
E Mola ,mwingi wa rehema,mjalie mja wako The Boss,abadilike,awe mtu mwema,awe mtu kareem,afuate maadili mema,aachane na mambo ya VITUMBUA, awe mtu safi kama Bishanga,Ameen!
wivu sina roho inauma eh.....hahahahaa .....mbona kaniPM na tushapanga miadi ya kwenda maldives?
Tooobah sibukhana!
Halafu sioni kitufe cha kuripoti abuse!