PAW ananiaminia, issue ndogo ndogo kama hizi kaniruhusu nimalize na gun!
Bishanga leta kiuno hapa, mama koku malalamiko yake ya infii niya-solve once and for all!
E Mola ,mwingi wa rehema,mjalie mja wako The Boss,abadilike,awe mtu mwema,awe mtu kareem,afuate maadili mema,aachane na mambo ya VITUMBUA, awe mtu safi kama Bishanga,Ameen!Bishanga, The Boss sio mzee wa nyumba ndogo as you say. Ni MZEE WA VITUMBUA.
Source: The Boss mwenyewe. Shahidi: FaizaFoxy.
Aliko yasemea: Thread ya utambulisho ya MZEE WA MBUNYE (Ashakum si matusi)
Ni jambo la kawaida wanajamii kupeana 'nicknames', mimi nimeshuka na hizi:
Bishanga- tajiri la kihaya
Aspirin- babu revola
Lizzy-condoliza rice
Kongosho-AC/DC
AD-mama maua
Michelle-mrs HC
Faiza foxy-Ana makinda
Kabakabana-zipu mkononi
Cantalisia-binti mtambuzi
Mtambuzi-mzee wa busara
Husninyo-miss mpwapwa
The Boss-mzee wa nyumba ndogo
Fidel-infi wa ukweli
Figanniga - .........
popobawa - ......
...........- binti mcharuko
..........-chakubimbi
dena - chaukali
jazieni hizo dot dot (mi naogopa ban) na kisha tuendelee......
Dah!inawezekana aisee lol!Canta hujui Nitonye shabiki mkubwa wa remmy ongala? (RIP)
Ameen!E Mola ,mwingi wa rehema,mjalie mja wako The Boss,abadilike,awe mtu mwema,awe mtu kareem,afuate maadili mema,aachane na mambo ya VITUMBUA, awe mtu safi kama Bishanga,Ameen!
refer to your various birthday greetings katika jf!
so sweet are your greetings!
hujijui,mkali ka pilipili ya gujarrat weye,lol!
utamu - bibi manyau wa tandale uzuri
No, thank you!weye wapenda weusi wenye matege?
Utasutwa Bishanga!!! Shauri yako, mie simo!chonde chonde SL kuna mtu unamuweka roho juu kwa matamshi haya..........
(TF werayu? unaibiwa.......)
karibu lunch serena basi,utanikuta meza ya mwisho kushoto,ukitaka njoo na mashost wako pesa ipo.