King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Heeeeeeeeeeh!
Mabigi!
Baby sister njoo tuongee chemba, mzee karibia anakata kauli huyu
Mabigi!
Baby sister njoo tuongee chemba, mzee karibia anakata kauli huyu
Naomba ubadilishe hiyo nickname ya huyu Mwanangu Cantalisia, kwanza ananiweka roho juu kila siku humu, mpaka siku hizi siweki mambo yangu ya ujanani hadharani tena.................(kwa kudai M-Pesa ili asitoe siri ndio zake) hafai huyu kuwa Binti Mtambuzi. Pili sijui hata ndululu yake ya kununulia tumbaku, mtoto nimsomeshe halafu hataki hata kurudisha chenji yangu..............Mzee mwenzangu naomba ufanye editing uondoe hilo jina la Mtambuzi hapo kwenye jina lake.