Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,027
Ni kwamba wanawake wa Rwanda na Burundi ambao waume zao ni madereva wa malori ya masafa marefu, wamebuni utaratibu mpya. Wakijua wazi waume zao wako katika mazingira hatarishi kupata VVU, kabla ya waume zao kuanza safari, huwafungia shehena ya kutosha ya condoms.
Wanajua wazi huko waendako wanalala na wanawake lukuki. Siku mume akirudi nyumbani, may be baada ya wiki 2, 3 au hata mwezi na nusu, mwanamke akigundua zile condoms zimetumika, hufurahi sana, kwani anajua mumewe anajilinda.
Vp akina dada wa JF, mumeo anaenda safari ya muda mrefu.
Je waweza mfungia shehena ya 'zana' ndani ya begi lake la safari?
source, BBCswahili
Wanajua wazi huko waendako wanalala na wanawake lukuki. Siku mume akirudi nyumbani, may be baada ya wiki 2, 3 au hata mwezi na nusu, mwanamke akigundua zile condoms zimetumika, hufurahi sana, kwani anajua mumewe anajilinda.
Vp akina dada wa JF, mumeo anaenda safari ya muda mrefu.
Je waweza mfungia shehena ya 'zana' ndani ya begi lake la safari?
source, BBCswahili