Gurta
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 2,234
- 531
Ishu ya condoms
sio watu hawapendi kutumia
ishu ni kuwa baada ya pombe watu husahau
huku condoms zipo mifukoni mwao.....
Ishu ni pombe
Pointi ya msingi sana hii mkuu. Ukiwa bwi kondom inakuwa ndooogo, inegligible kabisa