We tulia bana (we unajulikana kabisa status yako) haihitaji kutangaza maana kuna wambea wengi kama sisimizi. Tulia nitakutaja kwenye special thread kabisa
Msimsahau na AD + .............(TF tusaidie kujaza desh desh na pia tusimsahau hashycool na michelle baada ya kuhitimisha bcb).
Taarifa za kiintelijensia zinasema SL was hurt,anaugulia maumivu ya moyo mpaka leo.
Bishanga na Rocky unajua kuna lawyer mmoja hivi alibadili clause fulani...Mhhh ishavurugika nafikiri TF hana msimamo kabisa haaminiki
Aseeeee
Duh!!!!
Hakuna kabinti kanakonifaa humu!!
Kawe kanasoma na kawe hakajapata mkopo wa board ya mikopo, nataka nikalipie 75% or so!!!
Hima, offer inaisha saa tano kamili! Kafanye kitu cha pm!
Mhhh kwani SL hamjui TF kuwa huwa hatulii na macho juu juuTaarifa za kiintelijensia zinasema SL was hurt,anaugulia maumivu ya moyo mpaka leo.
Hahahaaa ila akija atatoa msimamo wake tuone....Mhhh ishavurugika nafikiri TF hana msimamo kabisa haaminiki
STUKA!!......Akija yule mzee anaondoka nao woteAseeeee
Duh!!!!
Hakuna kabinti kanakonifaa humu!!
Kawe kanasoma na kawe hakajapata mkopo wa board ya mikopo, nataka nikalipie 75% or so!!!
Hima, offer inaisha saa tano kamili! Kafanye kitu cha pm!
Loya anayejulikana humu ni Kloro sasa sijui kama ni yeye unamtaja hapaBishanga na Rocky unajua kuna lawyer mmoja hivi alibadili clause fulani...
Mlindie yule shoga ako alopigwa mute.
Lol...umenikumbusha mbali sana ile thread ya kutafuta InfiiHapa sijaridhika weka kwenye mabano ndo nitatulia (sikuelewi ujue)
Mhmmm!!! Bado mimi tu.
Sasa hivi niHuyo namba tatu imekuwaje tena kwa Kaby
Hapa sijaridhika weka kwenye mabano ndo nitatulia (sikuelewi ujue)
Am single but looking
Kongosho(**) + Asprin + Kabakabana
Kaizer + AshaDii
Haya sasa inakuwaje...kama nilivyokwambia sasa ole wako ubadilishe..Yupi huyo?
Hawezi kuja anaugulia maumivu ya kuachwaHahahaaa ila akija atatoa msimamo wake tuone....