The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Lol...hivi unajua leo lini kwanza usije ukadhani ni Jumamosi...Hukosekani?
Lol...hivi unajua leo lini kwanza usije ukadhani ni Jumamosi...Hukosekani?
Lizzy na Kongosho....Nani nimemuacha......[/SIZE]
Dah!!!! CD imekwama ina scratch...sasa mkuu una kesi hukumu leo leoMr Rocky na Mama Tuli mbona mnaisahau sana hii couple au kwa kuwa haivumi
TF na na na na na na ........SL ( kwenye deal la kukwapua sadaka kutoka kwa waumini)
No comment nisije nikala ban bureLizzy na Kongosho....
we mbona ..mvurugaji wa mambo?
We wa kwako INVISIBLE..
1. Husninyo + Judgement (baada ya Uporoto kupigwa chini)....
2. Cantalisia + Rejao (hii ni baada ya kumkwapulia Smile).....
3. Taijike + Excellent (wapya hawa).....
4. Erickb52 + Amyner (kama #3)......
5. Mwali + Ivuga (japo Ivuga kamkimbia Mwali).....
6. RussianRoulette + Paw (mmmh)....
7. Preta + Mtu Chake (japo TANMO anataka kuvuruga)......
8.
9.
Nani nimemuacha......
Dah!!!! CD imekwama ina scratch...sasa mkuu una kesi hukumu leo leo
Hii haujavurugwa kweli?Mr Rocky na Mama Tuli mbona mnaisahau sana hii couple au kwa kuwa haivumi
TF na na na na na na ........SL ( kwenye deal la kukwapua sadaka kutoka kwa waumini)
Bagah na Bi Nyakomba
SweetLady na Nitonye
Uporoto na Kabakabana
Lol...hivi unajua leo lini kwanza usije ukadhani ni Jumamosi...
Du! Una kumbukumbu kali weye!Mr Rocky na Mama Tuli mbona mnaisahau sana hii couple au kwa kuwa haivumi
TF na na na na na na ........SL ( kwenye deal la kukwapua sadaka kutoka kwa waumini)
Hahahahaaaaaumesahau...Bagah na Bi Nyakomba (kwenye majaribio ya muda mfupi)
Hahahahaaaaa
Mapenzi hayanaga majaribio.....we kashakuwa wako....