The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Duh!! Baadae tutaonana..HANIPENDI YULE ONA ALIVONIFANYA
Duh!! Baadae tutaonana..HANIPENDI YULE ONA ALIVONIFANYA
Aseeeee
Duh!!!!
Hakuna kabinti kanakonifaa humu!!
Kawe kanasoma na kawe hakajapata mkopo wa board ya mikopo, nataka nikalipie 75% or so!!!
Hima, offer inaisha saa tano kamili! Kafanye kitu cha pm!
Mgeni mwenyeji huyo wewe
STUKA Source Memo
HANIPENDI YULE ONA ALIVONIFANYA
We tulia bana (we unajulikana kabisa status yako) haihitaji kutangaza maana kuna wambea wengi kama sisimizi. Tulia nitakutaja kwenye special thread kabisa
Hehehe! Mgeni utasutwa wewe...lol. Kunikimbia hawezi bana,..ataanzia wapi anavyonipenda?Pouwa, eti nitonye kakukimbia?
Ulimnyima senene?
HANIPENDI YULE ONA ALIVONIFANYA
Haya sasa inakuwaje...kama nilivyokwambia sasa ole wako ubadilishe..
Mchungaji unayekula kondoo nipishe huko.
Hunijui, sikujui achana na mimi na ukafie mbele. Founders (LIzzy&The Finest,2011), Revision & Promotion(Konnie, 2012)
Endeleeni tu nawamulikaaaa.....Hivi Dena ule mkon'goto wa mwaka jana bado hujakoma tu???
Hehehe! Mgeni utasutwa wewe...lol. Kunikimbia hawezi bana,..ataanzia wapi anavyonipenda?
Kwanza...........kamata hii.........Mie nasoma phd, ndo mwaka wa pili sasa ni ni ya miaka 4 tu. Nikikuonaga humu moyo unanienda mbio kma pangaboi. Niruhusu nikutongoze kwa ajili ya hiyo sponsor, hata ukilipia 100% sitojali maana nikutandaza muno.
Afu wewe, ntakurudisha Buhangija au lalago.
Hahahaaa umeona eeehNimekwambia mgeni mwenyeji huyo umeona sasa
Hapa invisible alikutandika ban ama aliiburuza ban? Kha!
Hivi Nitty yupo kweli au ndo keshakamatwa na Jimama kakusahau maana hata kuonekana siku hizi haonekani kabisa.....Hehehe! Mgeni utasutwa wewe...lol. Kunikimbia hawezi bana,..ataanzia wapi anavyonipenda?
Tena hawa ndo wanaokuharibia aisee LolAfu wewe, ntakurudisha Buhangija au lalago.
Hahaha!!! Wewe nenda tu ila LOAFERS abaki..Nshakwambia. . . Jumapili au jumatatu mimi huyooooo. Nshaboreka!!
wewe una mtu au upo single tuanounce new couple sasa hvpole sana jamani!!! Isije ikawa asipofanya haya unamchokoza akupige ili ujue anakupenda, kama wae wenzetu wa mara!!! Pole..