Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,485
- 14,353
Sharobaro anaweza kuwa hata Moderator wa hili jukwaa maana ukiangalia mopja ya majukwaa yanayopwaya na hili ni mojawapo mpe kazi kijana, nasikia hiyo Mobile App ipo tayari lakini mnataka kuanza kuifanyia majaribio ni kweli???
We will work on this on a serious note, tulishafikiria kulifanyia kazi lkn kwa wakati huo watumiaji wa smartphones walikuwa wachache sana.Tunashukuru kwa kulikumbushia