Mgaya is a traitor and too cheap... Kununuliwa na jk ni sawa na kufanya biashara pale kwa macheni..Kwenye red: Nini kilimuua huyo bwana?
As for Mgaya, once a traitor always a traitor. I hope anapata usingizi usiku.
shame on you Mgaya? Damu ya Dr.Ulimboka itakutesa sana mnafk wewe, unasifu kwa jeshi la polisi kukamata chizi? kwa waledi upo unawasifu? acha unafiki mzee....
Kwenye red: Nini kilimuua huyo bwana?
As for Mgaya, once a traitor always a traitor. I hope anapata usingizi usiku.
We MRS Mgaya... aibu inazidi kukufuata? naona hujui hata maana ya neno "mnafiki" sasa kanisa nimekanusha mumeo alisifia... vipi mnajisikiaje?wewe ndiye mnafiki huangalii ndugu zetu walio kufa wakati wa mgomo ulioitishwa na huyo dr wenu muuwaji anayejali pesa kuliko uhai wa watu wengine nijuavyo mm hata kuwe na vita madaktari watafanya kazi muda wote hata bila mshahara...waone aibu...
TUCTA nao wamo
Katika hatua nyingine, Shirikisho la Vyama Vya Wafanyakazi (Tucta) limelipongeza Jeshi la Polisi kwa kumkamata mtu anayedaiwa kumteka na kumpiga kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dk Steven Ulimboka.Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Tucta, Nicolaus Mgaya alisema kuwa, hatua ya kumkamata mtuhumiwa huyo inaleta matumaini ya kuwabaini watu wengine waliohusika na vitendo hivyo, jambo ambalo linaweza kurahisisha uchunguzi.
Alisema kutokana na hali hiyo, jeshi hilo linatakiwa kuendelea na uchunguzi ili waweze kuwabaini wahusika wengine na kubaini ukweli kuhusu tukio hilo ambalo limesababisha kutokea kwa hisia tofauti katika jamii.
"Tunaliomba Jeshi la Polisi liendelee na uchunguzi ili waweze kuwabaini watuhumiwa wengine na kuwachukulia hatua za kisheria," alisema Mgaya.
SOURCE: MWANANCHI
Mgaya asifikiri kwa kuwa ni kiongozi wa wafanyakazi basi ataaminika kwa kauli hiyo ya kipuuzi, hiyo ni kauli yake haihusiani na kauli ya chama, tangu apigwe mkwara na JK pale alipoitisha mgomo wa wafanyakazi amekuwa mpole na mjinga kiasi kikubwa na hapo alipo ana kadi ya CCM kwa lengo la kugombea Ubunge naomba hilo jimbo analotaka kugombea wamuogope kama Ukoma kwani ni mnafiki hasiye faa kuwa kiongozi na naomba watumishi wa TUCTA wajiunge kwa pamoja ili kumuondoa mtu huyu.
Mgaya asifikiri kwa kuwa ni kiongozi wa wafanyakazi basi ataaminika kwa kauli hiyo ya kipuuzi, hiyo ni kauli yake haihusiani na kauli ya chama, tangu apigwe mkwara na JK pale alipoitisha mgomo wa wafanyakazi amekuwa mpole na mjinga kiasi kikubwa na hapo alipo ana kadi ya CCM kwa lengo la kugombea Ubunge naomba hilo jimbo analotaka kugombea wamuogope kama Ukoma kwani ni mnafiki hasiye faa kuwa kiongozi na naomba watumishi wa TUCTA wajiunge kwa pamoja ili kumuondoa mtu huyu.
namshangaa mgaya kujikosha naona huyu achunguzwe uwezo wake wa ku baini uongo na ukweli ,anaona maiguzo kuwa ni kweli watanzania wa leo si wakuletea maigizo kama haya ,huyo anayedaiwa kumtemka Dr Uli kama ametubu awtaje walomtuma ,ama anataka kutuambia kwamba Dr Uli ndiye mtu wa kwanza kwa yeye kutaka ku muua si uongo mtupu,wangapi amewaua kwa nini hakutubu huko kenya .mgaya huna jipya