DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,606
- 17,792
Ndo alizochukua Nazo master hizo.wakati alipata Zero form four 🤣🤣
Ndo alizochukua Nazo master hizo.wakati alipata Zero form four 🤣🤣
Bora hata huyu aliyefanya kwa akili yake, mbona yupo kibaka aliyeiba mitihani kabisa na humshangai umeshamzoea!.Huyu si ndio alipata zero harafu akaonekana Udom?
Saizi wanamsogeza kwenye ulaji soon mtashika ni Mbunge huku watu wa huko wanakenua tuu
Kamaliza Masters kabisa,Hivi huyu alifanikiwa kumaliza chuo pale UDOM?
Nani huyo? Magufuli alifukuza Watoto Wetu Udom wale special Diplomakwa madai ni vilaza wakati Watoto wake walipa 0.Bora hata huyu aliyefanya kwa akili yake, mbona yupo kibaka aliyeiba mitihani kabisa na humshangai umeshamzoea!.
Hakuna mtoto wake aliyepata Zero, kutokuwa na hakika ya jibu ni kuropoka!!Nani huyo? Magufuli alifukuza Watoto Wetu Udom wale special Diplomakwa madai ni vilaza wakati Watoto wake walipa 0.
Zambi itamtafuna huko aliko.
Matokeo yaliwekwa humu jf,usijitoe ufahamu kutetea ujinga kisa wewe ni mnufaika.Hakuna mtoto wake aliyepata Zero, kutokuwa na hakika ya jibu ni kuropoka!!
Alikuwa babe wako kumbe? Ila hajawahi kung’aa sijui anapeleka wapi hela😂😂Tumeachana
Safi sana ana uthubutu na moyo kama mzee jpm!"Mimi nikasema si vibaya nikajumuika na vijana wenzangu (UVCCM) Wilaya ya Chato katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Wilaya ya Chato na kuhakikisha inakamilika, nikasema nichangie kidogo nilichobarikiwa kuhakikisha kazi za Chama na pia siyo mwisho, nitaendelea kuchangia zaidi na zaidi mpaka kuhakikisha nyumba imekamilika kabisa" - Jesca Magufuli (Mtoto wa Hayati JPM)
Jesca Magufuli amesema kuwa amewiwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi vya nyumba ya Katibu wa UVCCM kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za vijana wa CCM ambao wameonyesha dira ya uwajibikaji
Bi. Jesca Mafuguli ametoa vigae kwa ajili ya kukamilisha nyumba ya Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Chato ambayo kwa sasa imefikia Asilimia 90 ya ujenzi huku akiwaasa vijana kuendelea kushirikiana katika Kulijenga Taifa la Tanzania kupitia serikali ya awamu ya Sita.
Naye, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kutoka UVCCM mkoa wa Geita, Rubein Saganyika Amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kumuenzi Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk John Magufuli kwa kuchapa kazi na kuiishi slogan yake ya Hapa Kazi Tu.
Aidha, Ruben Sagayika amewaomba vijana kuendelea kujitolea kwa ajili ya kukijenga chama ambapo amemushukuru binti wa Hayati Dk Magufuli ambaye ni Jesca Magufuli kwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi kukamilisha ujenzi wa nyumba ya katibu wa UVCCM Chato.
View attachment 2937331View attachment 2937332View attachment 2937333View attachment 2937335View attachment 2937336
Hujui anapeleka wapi hela? Mbona taarifa ipo wazi 😂Alikuwa babe wako kumbe? Ila hajawahi kung’aa sijui anapeleka wapi hela😂😂
Ipi hiyo😂😂Hujui anapeleka wapi hela? Mbona taarifa ipo wazi 😂
Kwenye ujenzi kama bandiko lisemavyoIpi hiyo😂😂
😂😂😂haya bhana.Kwenye ujenzi kama bandiko lisemavyo
Nani huyo? Magufuli alifukuza Watoto Wetu Udom wale special Diplomakwa madai ni vilaza wakati Watoto wake walipa 0.
Zambi itamtafuna huko aliko.
Afu usikute wewe ndio huyo maana izi fake ID😂😂😂haya bhana.