Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Uhuru Street.........of legendary status is like this
Wanajamvi,
Ukipata nafasi ya kukutana na meya wa manispaa ya Ilala Mstahiki Jerry Silaa Utamuuliza nini?!
Binafsi nitamuuliza kuhusu mgogoro wa Machinga complex na kukithiri kwa foleni na uchafu katika manispaa hiyo, kwako je? utamuuliza nini??
NB:
Am very serious kama hauna point ya msingi tafadhali usichakachue uzi huu!
View attachment 68617
nitamuuliza kwa nini kamkimbia mke wake tangu mwezi wa tano amehama nyumbani na hapeleki matumizi.
nitamuuliza kwa nini kamkimbia mke wake tangu mwezi wa tano amehama nyumbani na hapeleki matumizi.