Hivi huyu tangu achaguliwe kuwa meya wa Ilala kashafanya yepi ya kubadilisha hili jiji?
Maana mie humwona Runway, Mafian Lounge na kule kwenye baa ya Rose Garden anauza sura tuu lakini la kusema anaweza kujivunia kama Meya wa Ilala hakuna zaidi ya kuhusishwa kwenye kashfa ya wizi wa mabilioni ya UDA na meya mwenzie bwana Masaburi.
Halafu hamuishi kuja kulalama kuwa mnataka vijana waje kuchua nchi.
Sasa kama vijana wenyewe ni sampuli za Jerry Silaa naona bora tubaki na hawa hawa wazee.
Sasa wana JF huyu naye tumwachie au?
Maana hii ni 2012
Maana mie humwona Runway, Mafian Lounge na kule kwenye baa ya Rose Garden anauza sura tuu lakini la kusema anaweza kujivunia kama Meya wa Ilala hakuna zaidi ya kuhusishwa kwenye kashfa ya wizi wa mabilioni ya UDA na meya mwenzie bwana Masaburi.
Halafu hamuishi kuja kulalama kuwa mnataka vijana waje kuchua nchi.
Sasa kama vijana wenyewe ni sampuli za Jerry Silaa naona bora tubaki na hawa hawa wazee.
Sasa wana JF huyu naye tumwachie au?
Maana hii ni 2012