Mwekezaji ananunua Jengo la Mahakama ya Rufaa..kuna siku watanunua Ikulu hawa wawekezaji kwa madai ya kipuuzi kama hayo
duu ngoja nikaoge kwanza,nikirudi nitasema machache
Mwekezaji ananunua Jengo la Mahakama ya Rufaa..kuna siku watanunua Ikulu hawa wawekezaji kwa madai ya kipuuzi kama hayo
Natamani majengo yote ya serikali na wizara zilizoko city centre ziuzwe ziwe hotel za kitalii
Halafu serikali yote ihamie dodoma, yaani wakiuza wanajengewa jengo dodoma wanatimka mjini
foleni itapungua tutapua tufanye kazi..
nilikuwa katika pilika za hapa na pale, nikakutana na vijana wanaongelea juu ya uozo uliomo ndani ya mahakama ya rufaa na mahakama kuu, akawa anawaeleza wenzake kuwa kuna waraka umetolewa na wafanyakazi wa mahakama ya rufaa waliochoshwa na uonevu na ubinafsi wa viongozi wao. Kwa bahati nzuri nimeupata waraka huo wenye kurasa 13, nitaupiga picha niuambatanishe kama inawezekana kwa kuwa sina scanner. Kilichonigusa katika waraka huo ni uuzwaji wa mahakama ya rufaa kwa kempisky hotel. Nikaelekezwa nimuone engineer wa mahakama naweza kupata details lkn sijampata ila nilionana na dada mmoja yeye ni mhasibu pale, nilipomdodosa akaniambia ni kweli na amesikia mpaka michoro ya jengo jipya watakalojengewa mahakama na huyo mwenye kempsiky ipo tayari. Na sio kwamba watapewa cash, bali watajengewa jengo wanalotaka wao katika kiwanja chao ( yaani cha mahakama) kilichopo karibu na gymkana. Tena huyu mdada akaniambia hiyo habari inazimwa then inaanza kwani kuna mkono wa jaji mkuu mstaafu na jakaya.
Inasikitisha sana kwa kuwa hili jengo ni la kihistoria na pia mahali lilipo ni very potential kuondolewa kirahisi hivyo. Kuna harufu ya rushwa kabisa katika hili. Mwenye habari zaidi atujuze na pia wadau wenye uwezo wa kulifuatilia suala hili kwa undani zaidi kazi ni kwenu.
Nilikuwa katika pilika za hapa na pale, nikakutana na vijana wanaongelea juu ya uozo uliomo ndani ya Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu, akawa anawaeleza wenzake kuwa kuna waraka umetolewa na wafanyakazi wa Mahakama ya Rufaa waliochoshwa na uonevu na ubinafsi wa viongozi wao. Kwa bahati nzuri nimeupata waraka huo wenye kurasa 13, nitaupiga picha niuambatanishe kama inawezekana kwa kuwa sina scanner. Kilichonigusa katika waraka huo ni UUZWAJI WA MAHAKAMA YA RUFAA KWA KEMPISKY HOTEL. Nikaelekezwa nimuone engineer wa Mahakama naweza kupata details lkn sijampata ila nilionana na dada mmoja yeye ni Mhasibu pale, nilipomdodosa akaniambia ni kweli na amesikia mpaka michoro ya jengo jipya watakalojengewa Mahakama na huyo mwenye Kempsiky ipo tayari. Na sio kwamba watapewa cash, bali watajengewa jengo wanalotaka wao katika kiwanja chao ( yaani cha mahakama) kilichopo karibu na Gymkana. Tena huyu mdada akaniambia hiyo habari inazimwa then inaanza kwani kuna mkono wa Jaji mkuu mstaafu na Jakaya.
Inasikitisha sana kwa kuwa hili jengo ni la kihistoria na pia mahali lilipo ni very potential kuondolewa kirahisi hivyo. Kuna harufu ya Rushwa kabisa katika hili. Mwenye habari zaidi atujuze na pia wadau wenye uwezo wa kulifuatilia suala hili kwa undani zaidi kazi ni kwenu.
Huyo mwekezaji kwa nini asiazishe biashara ya crusie ship dar- kigamboni kule kwenye eneo lake lingine.
Anununue na huo ufukwe atoe hayo mameli mabovu mabovu
Ningependa kusikia hilo jengo jipya linajengwa Dodoma. Gymkahana tena mhhh madudu juu ya madudu
Kuna madudu mengine unaweza kukubaliana nayo kama yakifanywa kwa njia bora. Sioni sound reason ya kuhamishwa hapo alafu kwenda ghymkhana .
Hii nimeipendaKaribuni wawekezaji wote tuchume shamba la Bibi
Babu kesha kufa Bibi hana macho wala hasikii tena
Vijana wanalishwa pipi, na viongozi wanapewa chipsi kuku tu
Nchi haina wenyewe, Njooni njooni kabla ya Dr wa ukweli hajaishika
Miye JK niandalieni makazi kwenu, kwa sababu kuna vichaa wamepanga kunishtaki
Miye msinijengee tena Saudia, Vijana wa huko wamecharuka
Uturuki naona inafaa, Tuswali wote
Nchi haina wenyewe, Njooni Njooni kabla Dr wa Ukweli hajaishika.
Kuna vichaa wanafanya maandamano, dawa yao iko jikoni Nimemkabidhi Nape
Nitapeleka kundi langu huko JF, wasifurukute hata nitawalipa kwa malaki
Dua la kuku halimpati mwewe, Ninawaambie njooni tutafune
Nchi haina wenyewe, Njooni Njooni kabla Dr wa Ukweli hajaishika.