Jenerali Ulimwengu amponda JK na wanachama wa SAIGON!!

aliyekwambia si nyumba ya bakhresa nani? usiwe unakurupuka “like a dissatisfied woman!”
nimeuliza ni saigoni ya narung'ombe/livingstone au ipi? sasa uwongo unatoka wapi hapo? au haipo narung'ombe kkoo? think big bwana


Tena wewe ndio uko correct kuliko lenyewe lililokurupuka.
Sasa Liulize hiyo nyumba ya Bakhresa iko mtaa gani?
 
Ukweli ni kwamba vijiwe vingi vinakawaida ya kujinasibu kuwa ndivyo vyenye ushawishi wa mambo mengi muhimu yanayoendelea mjini lakini watu mashuhuri ndio wanaovibeba vijiwe hivyo.ni kweli kwamba mwl NYERERE alikipa umaarufu kijiwe hicho na siyo kijiwe kilichompa umaarufu yeye.kifupi ni kwamba ELIMU NDIO HUMPA UMAARUFU MTU NA SIYO MTU ANAIPA UMAARUFU ELIMU
 
Bila SAIGON Kikwete asinge panda juu hadi kufikiriwa kuwa RAIS... Kikwete ni MTOTO WA SAIGON; MZEE KITWANA KONDO

alikuwa Mmoja wa watu WA SAIGON ndio aliyependekeza JINA la KIKWETE kwa RAIS MWINYI...
Mnachanganya mambo kikwete sio mtu wa Saigon...yeye ni mtu wa magomeni,vijiwe vyake ni vya magomeni,saigon ni ya watu wa kariakoo,Yeye jakaya kijiwe chake kilikua pale mtaa wa dosi magomeni,hajawahi kuwa mtu wa saigon,Iddi simba,Kaka Dito sawa sio jakaya,kiufupi saigon ni ya wadarisalama huyo jakaya hata akifa leo ataenda kuzikwa kwao chalinze sijui msoga hapana sio kisutu wala tambaza,ni kama vile newyork wenyewe ni newyorker na dar ni ya wadarisalama.

Nilitaka kuweka kumbukumbu sawa tu ili vijana wadogo wasipotoshwe maana hawayajui mambo haya,kuna wapo watoto wa mjini ambao wakifa wanasafirishwa kurudishwa kwenye miji yao na wapo watoto dar es salaam mnakaburi yao ni tambaza na kisutu na otherwise mjadala ni mzuri,naomba uendelee.
 
Enzi za Saigon zinakwisha
Kikwete will be the last Saigon member kuongoza...

sometimes mnawapa credit kuubwa kuliko reality....

Saigon ni kijiwe tu cha kupiga story

na kama kijiwe chochote kila 'kujuana kuna faida zake'

hata huko Marekani kuna vijiwe vile vile....vyenye kujuana na watu kufaidika na kujuana huko......

waliosoma na The Kennedys au 'Harvard connections' na kadhalika

Hapo umenifurahisha sana na ndio ukweli mtupu.vijiwe ni sehemu watu wanakotolea frustrations zao na ku pass time tu na pengine kufahamiana tu.hakuna mtu asiye na elimu aliyebebwa na kijiwe akabebeka.
 
Saigon kwa sasa haina nguvu tena....hata ya kuweka Mbunge.....wale watoto wengi wa Mujini Kama kina mzee kitwana kondo,Sykes...et al wamezeeka ,...na wengine Kama kina Ditipile..,Mansour Magram etc....wamefariki..na hapana members vijana credible kuendeleza..

wangekua hawana nguvu wangemuweka meya wa sasa wa jiji pamoja na yule dogo meya wa ilala hapo walipo sasa?msizungumze tu mambo msiyoyafahamu,kikwete nasisitiza hakuwahi na wala sio member wa saigon bora hata mseme big Ben mkapa,kwakua mkapa amekaa kariakoo pale livingstone,jakaya alikuja dar kusoma chuo kikuu na akafikia magomeni ndio maana yuko connected zaidi na watu wa magomeni na vijiwe vya huko mtaa wa dosi na pale mapipa kwa marehemu mkang'a na ndio mana mwaka juzi walipofanya hitma yao pale alitoa mchango na kuhudhuria akiwa rais,hajafanya hivyo hata mara moja kuhudhuria shughuli za saigon kwa kuwa sio mdarisalama.
 
Hapo umenifurahisha sana na ndio ukweli mtupu.vijiwe ni sehemu watu wanakotolea frustrations zao na ku pass time tu na pengine kufahamiana tu.hakuna mtu asiye na elimu aliyebebwa na kijiwe akabebeka.

Unaifahamu elimu ya mstahiki meya wa dar aliyepita mzee abuu juma???!
 
Didas Masaburi
sio member na amekuwa Mayor...
na wengi wengineo kina Jerry Silaha na yule alienunua mali za UDA...
Saigon inapewa sifa nyiingi kuliko hali halisi
kamanda heshima kwako kwanza,maana long time hatujakutana humu.Kiufupi Didas kampeni yote alipigiwa na saigon japo kweli sio member hata jerry pia,na si mara ya kwanza saigon kumpigia debe mtu asiekua member,utaratibu ni kwamba mtu akishikwa mkono akapelekwa pale na mtu wa pale anaeheshimika na wakamuelewa wanambeba tu,Didas na Jerry waliletwa na Idd simba ambae nadhani kila mtu anaujua uhusiano wa simba wa ilala na saigon
 
Huyu Ulimwengu ni nani?
Ni mwandishi wa habri? Ni mhariri? Ni mwanaharakati?

Hivi karibuni waandishi wa habari kote nchini walifanya maandamano ya amani kulaani kitendo kilichofanywa na Polisi kwa kumuuwa mwandishi wa habari. Ulimwengu ulikuwa wapi? Hukuonekana na hata hukusikika kwa salamu.

Mkuu wote walioandamana uliwaona? na salamu zote zilizotolewa ulizisikia? Mimi nilimsikia si chini ya mara moja akilizungumzia suala la Mwangosi, wewe kama hukusikia ni bahati mbaya kidogo. Lakini pia ni vizuri kukumbuka Tz sasa hivi tuna magazeti/TV lukuki inawezekana habari ikatoka kwenye gazeti/TV ambayo huna kawaida ya kusoma/kusikiliza, ni muhimu kabla ya kulaumu ukafanya uchunguzi wa kutosha
 
Kuna ka-UDINI kwenye mambo ya SAIGON. Watu kama Masaburi, Jerry Silaa, wameupata Umeya kwa pesa zao. Waliwahonga madiwani mamilioni.
 
kamanda heshima kwako kwanza,maana long time hatujakutana humu.Kiufupi Didas kampeni yote alipigiwa na saigon japo kweli sio member hata jerry pia,na si mara ya kwanza saigon kumpigia debe mtu asiekua member,utaratibu ni kwamba mtu akishikwa mkono akapelekwa pale na mtu wa pale anaeheshimika na wakamuelewa wanambeba tu,Didas na Jerry waliletwa na Idd simba ambae nadhani kila mtu anaujua uhusiano wa simba wa ilala na saigon
Didas na Jerry walihonga sana kuupata UMEYA. Hakuna cha SAIGON wala nini hapa. SAIGON ilikuwa na nguvu enzi zile ambako matumizi ya pesa yalikuwa kidogo sana kwenye chaguzi zetu na udiwani wa kata za Dar sasa hivi hauzingatii sana uanaDar es Salaam.
 
Hizi ni daili za kukata tamaa kimaisha na kupelekea kuwa na fikra za chuki.

Pole sana Jenerali
 
Didas na Jerry walihonga sana kuupata UMEYA. Hakuna cha SAIGON wala nini hapa. SAIGON ilikuwa na nguvu enzi zile ambako matumizi ya pesa yalikuwa kidogo sana kwenye chaguzi zetu na udiwani wa kata za Dar sasa hivi hauzingatii sana uanaDar es Salaam.

Ni kweli kwa siasa za sasa Saigon haina nguvu yeyote...............Yaani leo hii bila pesa na au network ya watu wenye pesa mtu akushike mkono kwenda somewhere halafu uukwae uongozi? Kituko
 
wangekua hawana nguvu wangemuweka meya wa sasa wa jiji pamoja na yule dogo meya wa ilala hapo walipo sasa?msizungumze tu mambo msiyoyafahamu,kikwete nasisitiza hakuwahi na wala sio member wa saigon bora hata mseme big Ben mkapa,kwakua mkapa amekaa kariakoo pale livingstone,jakaya alikuja dar kusoma chuo kikuu na akafikia magomeni ndio maana yuko connected zaidi na watu wa magomeni na vijiwe vya huko mtaa wa dosi na pale mapipa kwa marehemu mkang'a na ndio mana mwaka juzi walipofanya hitma yao pale alitoa mchango na kuhudhuria akiwa rais,hajafanya hivyo hata mara moja kuhudhuria shughuli za saigon kwa kuwa sio mdarisalama.
Mkuu unasisitiza kwani ni baba yako Kikwete ni member wa Saigon
 
Hizi ni daili za kukata tamaa kimaisha na kupelekea kuwa na fikra za chuki.

Pole sana Jenerali

Wewe naye umekosea.......kuikosoa serikali Jenerali hajaanza leo tokea zama akiwa Mbunge, tena kuna wakati aliambiwa na Malicela utaikosoaje serikali ya chama chako.....baada ya muda mfupi akaacha kazi ya ukuu wa wilaya na kuanzisha gazeti yeye na wenzie. Na mbona maneno aliyosema si makali sana, ungeyaona aliyokuwa anaaandika wakati wa Mkapa si ungemtukana kabisa..............Better to differ
 
Sijajua kama Ulimwengu ni mpenzi wa michezo.

Last time alikuwa anamhoji mtu mmoja wa mpira Tanzania kwenye Jenerali on Monday akasema," unakuta mchezaji wa timu ya taifa hajui hata kupiga danadana 5", nikaona huyu jamaa sasa...
 
Sijajua kama Ulimwengu ni mpenzi wa michezo.

Last time alikuwa anamhoji mtu mmoja wa mpira Tanzania kwenye Jenerali on Monday akasema," unakuta mchezaji wa timu ya taifa hajui hata kupiga danadana 5", nikaona huyu jamaa sasa...

Alishawahi kuwa mwenyekiti wa BMT (Baraza la michezo Tanzania) Kabla ya kuvuliwa uraia, by the way ni mtu wa michezo labda useme character za mtu wa michezo
 
ha ha ha, yaani hapo umenikumbusha uchaguzi wa chama cha soka mkoa wa Dar es Salaam, kipindi kile Ditopile ni RC wa Dar, kitu kama 1994 au 95 hivi, Lutta Nelson alipogombea, Ditopile akaenda kupoiga kampeni akasema sio mnachagua watu hata Dar hawaijui, yaani hata tongotongo za kijijini kwao hazijawatoka, basi Lutta zengwe likamkuta akatoswa kwenye uchaguzi
sijawahi ona kiongozi yeyote toka Saigoni aliyepata kutuletea maendeleo iwe Dar, Mpirani au kitaifa, angalia KK alikuwa meya wa jiji miaka mingi na hakuna la maana alilofanya, Ditopile yeye ni uzinzi mpaka akawa anaitwa ukimuona mzurimzuri mtupie, angalia Ismail Aden Rage, tangu katibu TFF mpaka kwenye timu yangu niipendayo ya Simba, hamna jipya, sana sana atajifanya yeye mtoto wa njini anajua fitina wakati hamna maendeleo, JK nadhani sina la kusema, wote mnajua amekuwa rais wa aina gani,

kifupi members wa Saigon wamefanikiwa sana kupata vyeo mbalimbali hapa bongo na wanajua sana kuwafanyia fitina wenzao na kuwachafua majina lakini inapokuja kwenye sual la uongozi, wameprove failure vibaya

Aden Rage ninavyofahamu ametokea Tabora na simtoto wa mjini au kuna sifa ya ziada kujiunga Saigon?
 
Tuna exaggerate mambo?.

Saigon is gone. Kilikua kijiwe cha fitina kwenye siasa za Dar na mpira wa soka Simba na Yanga na "FAT". Wazee wamezeeka hakuna vijana.

Hawana nguvu wala hawajamweka JK madarakani. Wote tunamjua kingmaker ni nani na baadaye King akajiweka mwenyewe na familia yake. PERIOD
 
Back
Top Bottom