platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Tuna exaggerate mambo?.
Saigon is gone. Kilikua kijiwe cha fitina kwenye siasa za Dar na mpira wa soka Simba na Yanga na "FAT". Wazee wamezeeka hakuna vijana.
Hawana nguvu wala hawajamweka JK madarakani. Wote tunamjua kingmaker ni nani na baadaye King akajiweka mwenyewe na familia yake. PERIOD
Mkuu punguza maneno makali (just kidin') si unajua Watanzania wanvyopenda kutengeneza vinyago halafu vinawatisha wenyewe!! Ni kama zile hadithi za chunusi au joka kubwa kwenye mti fulani......woga mtupu