ng'wanankamba
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 345
- 118
Kingmakers.
jmushi1
Ukisikia wazee wa Dae -es Salaam basi sii wengine isipokuwa wana Saigon ambapo hata mwalimu alikuwa kijiwe hicho..hawa ndio wanaamini kuwa chimbuko la TAA,TANU hadi CCM...
Undani wake siwezi kuujua maana sisi ktk makuzi yetu tumeikuta Saigon huwezi kuingia pasipo kuwa introduced.. Ila nachofahamu watu wa Saigon ni kama Cartel ni CCM damu hawawezi kuhama chama na hawa ndio pia chimbuko la Mpira nchini toka Simba hadi Yanga enzi za marehemu Karume rais wa kwanza wa Zanzibar. Hawa walikuwa wanakula na kulala kwa Mpira na Siasa..Ndugu Mkandara ameshakuja hapa,kama una swali lolote kuhusiana na hilo,basi nina uhakika anaweza kukupatia jibu.Kama alivyosema hapo nyuma,hao inaonekana ni very powerful,kama alivyosema,mwalimu naye alikuwa member.Hilo kwakweli sikuwa nafahamu Mkandara endelea kutufahamisha zaidi mkuu,kuna rais aliyewahi kuchukuwa nchi bila sapoti yao?
Nasikia nyumba yenyewe imevunjwa sasa sielewi ni ktk kuijenga Saigon mpya au ndio wamesambaratika..Wakuu kwani mnazungumzia saigon hii ya hapa NARUNG'OMBE / LIVINGSTONE? Mbona ofisi yenyewe imechoka sana ,tena kunakipindi walikatiwa umeme,,mimi niliwahi kujichanganya siku moja kipindi rage amefungwa jela jamaa wakikuw wanajipanga kwenda kumbembelezea kwa mkulu.
Rage pia ni mwanachama wa Saigon!
Ndugu Mkandara ameshakuja hapa,kama una swali lolote kuhusiana na hilo,basi nina uhakika anaweza kukupatia jibu.Kama alivyosema hapo nyuma,hao inaonekana ni very powerful,kama alivyosema,mwalimu naye alikuwa member.Hilo kwakweli sikuwa nafahamu Mkandara endelea kutufahamisha zaidi mkuu,kuna rais aliyewahi kuchukuwa nchi bila sapoti yao?
mbona website imekufa?wandugu,
..Jenerali angeweza kutumia mfano wa kijiwe chochote kile maana viko vingi, lakini ameamua kutaja kjiwe cha Saigon.
..kama mnavyoelewa JK amejitambulisha kama mwanachama wa kijiwe hicho.
..sasa katika makala hii, reading btn the lines, utaona Jenerali anadai nchi haisongi mbele kwasababu JK anaongozwa na mawazo na mitizamo toka kijiweni Saigon.
..kwa kweli JK anapaswa kujitafakari ktk kipindi hicho cha kuelekea mwisho wa utawala wake.
..Jenerali anaendelea zaidi hapa:
makala nzima ipo hapa:
Raia Mwema - Tumekuwa watu wa
Enzi za Saigon zinakwisha
Kikwete will be the last Saigon member kuongoza...
sometimes mnawapa credit kuubwa kuliko reality....
Saigon ni kijiwe tu cha kupiga story
na kama kijiwe chochote kila 'kujuana kuna faida zake'
hata huko Marekani kuna vijiwe vile vile....vyenye kujuana na watu kufaidika na kujuana huko......
waliosoma na The Kennedys au 'Harvard connections' na kadhalika
Saigon kwa sasa haina nguvu tena....hata ya kuweka Mbunge.....wale watoto wengi wa Mujini Kama kina mzee kitwana kondo,Sykes...et al wamezeeka ,...na wengine Kama kina Ditipile..,Mansour Magram etc....wamefariki..na hapana members vijana credible kuendeleza..
Wakuu kwani mnazungumzia saigon hii ya hapa NARUNG'OMBE / LIVINGSTONE? Mbona ofisi yenyewe imechoka sana ,tena kunakipindi walikatiwa umeme,,mimi niliwahi kujichanganya siku moja kipindi rage amefungwa jela jamaa wakikuw wanajipanga kwenda kumbembelezea kwa mkulu.
jmushi1
Ukisikia wazee wa Dae -es Salaam basi sii wengine isipokuwa wana Saigon ambapo hata mwalimu alikuwa kijiwe hicho..hawa ndio wanaamini kuwa chimbuko la TAA,TANU hadi CCM...
Acha uwongo Saigon ni nyumba ya Bakhresa kuna maduka yake ya kuuza maji jumla wazee wamepewa milango miwili ndiyo maskani yao.
wandugu,
..Jenerali angeweza kutumia mfano wa kijiwe chochote kile maana viko vingi, lakini ameamua kutaja kjiwe cha Saigon.
..kama mnavyoelewa JK amejitambulisha kama mwanachama wa kijiwe hicho.
..sasa katika makala hii, reading btn the lines, utaona Jenerali anadai nchi haisongi mbele kwasababu JK anaongozwa na mawazo na mitizamo toka kijiweni Saigon.
..kwa kweli JK anapaswa kujitafakari ktk kipindi hicho cha kuelekea mwisho wa utawala wake.
..Jenerali anaendelea zaidi hapa:
makala nzima ipo hapa:
Raia Mwema - Tumekuwa watu wa
Enzi za Saigon zinakwisha
Kikwete will be the last Saigon member kuongoza...
sometimes mnawapa credit kuubwa kuliko reality....
Saigon ni kijiwe tu cha kupiga story
na kama kijiwe chochote kila 'kujuana kuna faida zake'
hata huko Marekani kuna vijiwe vile vile....vyenye kujuana na watu kufaidika na kujuana huko......
waliosoma na The Kennedys au 'Harvard connections' na kadhalika