Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Mwache ayalete huenda tutafaidika nayo katika kilimo chetu duni.....
Huu ujinga wa kusema tumwache ndo umetupelekea tukitanga tanga kila siku bila kujua adui yetu ni nani kumbe ni sisi wenyewe tunajiloga kama wewe hapa duh kweli Miafrika ndivyo ilivyo.