ituganhila
Member
- Aug 25, 2009
- 24
- 0
Nimesoma habari kuwa Jeetu Patel ameshinda zabuni ya kuleta matrekta yenye thamani ya bilioni 50 toka ambayo ni mkopo wa serikali ya India kwa Tanzania. Mkopo usio na riba. Sikuelewa hapo inamaana ni Jeetu Patel yule aliye kwenye kesi ya EPA au mwingine?? TUTAFIKA katika mapambano ya makali haya ya kuwabana watu walionatuhuma za kukwapua mablioni ya TZ!! Je si vema kususa hata biashara nao??