The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
ni wale wa ccm.
inajulikana kuwa kwa sasa kuna kila harakati ndani ya chama kinachojiita tawala watu kujipanga kuwa wapangaji wa magogoni-feri. wengi wao wanaamini anguko la mzee wa monduli ni sawa na anguko la tanganyika. hakuna tena mkiristo kama lowasa anayeweza kugombea urais kwa chama cha magamba. membe inasemekana amefoji jina...ni msilamu. sita alishazimwa na mafia, kawekwa kwenye kikombe kama dawa ya loliondo. hana chake. wengine kama kina makongolo kazi yao kujenga baa tu. mawe matatu hajulikani. asha-rose jina lake lina utata. ni kama bajaji...si gari, si pikipiki. magufuli kama jina lake tu. akili yake na pombe sawasawa. anapenda masifa. nani anaweza kugombea kwa tikiti ya ccm? viongozi wa dini za kikiristo wanatishwa. mfano wanasingiziwa wanauza unga. wengine wametolewa waranti ya kutiwa korokoroni popote watakapoonekana.
lakini kushoto kulia ukicheki kwa makini utagundua siri. mfano mambi ya kambi ya jeshi na mauwaji ya gomngo la mboto na huseni mwinyi kugoma kujiuzulu wala kuomba radhi kwa sababu anajiandaa kufuata nyayo za baba yake. mkuu wa jeshi la polisi ni shehe. waziri wa polisi ni shehe. kamanda wa polisi mkoa ilipo ikulu ni shehe. raisi ni ustaadhi. bakwata ni shina la ccm. nyerere kafa. lowasa kafunikwa. looo!
ngoja nisogese laptop.
sasa hapa fikiria. kama wakiristo wanataka rais ajaye asiwe shehe maana yake mpaka sasa miaka 4 kabla ya uchaguzi, hawajui nani atagombea kupitia magamba. hawajui na wanatishwa kila leo. ngoja kwanza. zanzibar 99% ni mashehe. na tumesikia jinsi wakiristo waishio visiwa va unguja na pemba wanavochomewa makanisa yao. hawana pa kuabudia. hatari.
sasa kama tunataka mgombea urais wa ccm awe mkiristo, basi atoke zenji. lakini zenji patachimbika. maana wazenji hawataki kusikia kitu kinachoitwa ukiristo. lakini watu wanajipanga kuhakikisha raisi ajaye anatoka zenji. moja wapo jk mwenyewe. wanapanga misikitini mkakati huu.
halahala.
mwisho wa yote mradi wao utatekelezwa.
tanzania kujiunga na OIC na kadhi. mabomu kama somalia na nijeria.
kwa herini.
mtasema mi mwehu. [poa. mimi mwehu. kwani nani asiyejua watznaznia hawapendi kuambiwa ukweli!
ama nitapigwa ban.
messeji sent.
inajulikana kuwa kwa sasa kuna kila harakati ndani ya chama kinachojiita tawala watu kujipanga kuwa wapangaji wa magogoni-feri. wengi wao wanaamini anguko la mzee wa monduli ni sawa na anguko la tanganyika. hakuna tena mkiristo kama lowasa anayeweza kugombea urais kwa chama cha magamba. membe inasemekana amefoji jina...ni msilamu. sita alishazimwa na mafia, kawekwa kwenye kikombe kama dawa ya loliondo. hana chake. wengine kama kina makongolo kazi yao kujenga baa tu. mawe matatu hajulikani. asha-rose jina lake lina utata. ni kama bajaji...si gari, si pikipiki. magufuli kama jina lake tu. akili yake na pombe sawasawa. anapenda masifa. nani anaweza kugombea kwa tikiti ya ccm? viongozi wa dini za kikiristo wanatishwa. mfano wanasingiziwa wanauza unga. wengine wametolewa waranti ya kutiwa korokoroni popote watakapoonekana.
lakini kushoto kulia ukicheki kwa makini utagundua siri. mfano mambi ya kambi ya jeshi na mauwaji ya gomngo la mboto na huseni mwinyi kugoma kujiuzulu wala kuomba radhi kwa sababu anajiandaa kufuata nyayo za baba yake. mkuu wa jeshi la polisi ni shehe. waziri wa polisi ni shehe. kamanda wa polisi mkoa ilipo ikulu ni shehe. raisi ni ustaadhi. bakwata ni shina la ccm. nyerere kafa. lowasa kafunikwa. looo!
ngoja nisogese laptop.
sasa hapa fikiria. kama wakiristo wanataka rais ajaye asiwe shehe maana yake mpaka sasa miaka 4 kabla ya uchaguzi, hawajui nani atagombea kupitia magamba. hawajui na wanatishwa kila leo. ngoja kwanza. zanzibar 99% ni mashehe. na tumesikia jinsi wakiristo waishio visiwa va unguja na pemba wanavochomewa makanisa yao. hawana pa kuabudia. hatari.
sasa kama tunataka mgombea urais wa ccm awe mkiristo, basi atoke zenji. lakini zenji patachimbika. maana wazenji hawataki kusikia kitu kinachoitwa ukiristo. lakini watu wanajipanga kuhakikisha raisi ajaye anatoka zenji. moja wapo jk mwenyewe. wanapanga misikitini mkakati huu.
halahala.
mwisho wa yote mradi wao utatekelezwa.
tanzania kujiunga na OIC na kadhi. mabomu kama somalia na nijeria.
kwa herini.
mtasema mi mwehu. [poa. mimi mwehu. kwani nani asiyejua watznaznia hawapendi kuambiwa ukweli!
ama nitapigwa ban.
messeji sent.