emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Kwa nini tunapenda kukataa kwamba tz haina udini?udini upo tena umekomaa kabisa na walioukomaisha ni ccm wenyewe. Utajengaje msikiti uwanja wa ndege ama kuweka kibla kwenye ofisi za serikali kama haina chama? wakati wa AHM na wakati wa JK umetumika kama wakati wa kuingiza dini kwenye siasa alafu wanaanza wao kusema kuna udini. Wakristo nao wameamka sasa sio kueneza udini kwenye siasa bali kukataa upuuzi wanaambiwa wana udini. Sasa hivi wakristo wanatukaniwa dini yao hadharani tena kwenye vipaza sauti na sijawahi sikia kuna mtu kashiktakiwa kwa kukashfu dini nyingine, redio imani imekuwa kero badala ya kujadili uislamu inakashfu ukristo wazi wazi, huu ni udini mbaya sana, ccm mmegawa taifa letu kidini. Waislamu nchini ni % 19 na wakristo ni zaidi ya % 45 angalia mlinganyo wa madaraka serikalini utashangaa sana. Vyeo nyeti vyote JK kawapa waislamu. Hii ni kuendekeza udini. Wakati wa BWM yeye alifanya kinyume akawainua waislamu juu ili kukwepa udini, JK yeye anaonyesha wazi alivyo m-dini. Haya. Yatawashinda