BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Ningependa kuuliza wana jf,kwenye fomu za kuwania ubunge hakuna kipengele cha- jee umewahi kushtakiwa kwa kosa la jinai?nashangaa kikwete ni kiongozi wa serikali na kila siku anatamba kesi za mafisadi zinashughulikiwa.yeye huyo huyo ana mnadi mramba ambaye kaiingizia serikali hasara ya bil 11 kuwa ni mtu safi, si bora amwamuru mwanasheria mkuu aifute kesi?watanzania tuamkeni hii nchi zaidi ya miaka 50 waliotumaliza inatosha.