Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
- Thread starter
- #21
Mwita, wanaoitwa Ikulu ni waandishi toka media organization!. Mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea. Sijaajiriwa na media yoyote, silipwi na media yoyote wala situmikii media yoyote hivyo kualikwa ni vigumu!.Pasco,
Nasikia mmeitwa ikulu, bila shaka cabinet imesukwa hadi ikasukika.
Last edited by a moderator: