Na hitler
Ruhazwe JR, we mbona kila sehemu 'unanifatilia?'
sidhani kama jambo hili linawezekana hadh huku. Junior. Cux ucjali.
Daaaaaah! Msomage vichwa vya habari basi kabla ya comment, otherwise we sepa tuuu!So what!
Nimezaliwa Tarehe 5/2/1977 siku ya kuzaliwa Chama cha kina Rostam!
Ruhazwe JR, we mbona kila sehemu 'unanifatilia?'
sidhani kama jambo hili linawezekana hadh huku. Junior. Cux ucjali.
cjui kasahau nin huku huyu kijana.. vp madame, how waz yo nyt.!!
cjui kasahau nin huku huyu kijana.. vp madame, how waz yo nyt.!!
Junior. Cux nyt yangu ilikuwa nzuri sana,kila nikigeuka huku nakuota,kila upande yani nakuota..!!cjui kasahau nin huku huyu kijana.. vp madame, how waz yo nyt.!!
Ruhazwe JR, ndo umekuja kutangaza huku mambo yetu ya chumbani?dah!....mapenzi ninayopewa na Madame B ni sawa na mgao wa umeme
Junior. Cux nyt yangu ilikuwa nzuri sana,kila nikigeuka huku nakuota,kila upande yani nakuota..!!cjui kasahau nin huku huyu kijana.. vp madame, how waz yo nyt.!!
Binafsi nimezaliwa tarehe 25 novemba...na ninashare birthday na aliyekua mtoto wa Rais wa Marekani J.F Kennedy Jr.
Vipi ninyi wenzangu siku zenu za kuzaliwa mnashare na watu gani maarufu wanaweza kuwa marais, wasanii, wanamichezo nk.