kenethedmund
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 347
- 89
Napenda kutoa mada tajwa hapo juu, Je wananchi wanapaswa kuziamini mahakama hasa kwenye kesi za kisiasa.
Nasema hivi kulingana na hukumu iliyotolewa kuhusu uchaguzi na kuenguliwa kwa mbunge wa Arusha Godbless Lema, vifungu vilivyotumika na Jaji vinatia mashaka, na vinahoji credibility ya Judge alipoitoa hukumu hiyo.
vilevile napenda kueleza usiri wa hukumu hiyo haukuwepo kwani taarifa zilienea sehemu mbalimbali watu wakijua kuwa Lema atashindwa na kuenguliwa ubunge.
Napenda kumalizia kwa kuuliza swali je - mahakama zinapaswa kuaminika kwenye hukumu hasa kwenye kesi za kisiasa ?
Kama hapana wananchi wanapaswa kutumia hatua gani ili kulinda haki zao za kuchagua muwakilishi wao ?
Nasema hivi kulingana na hukumu iliyotolewa kuhusu uchaguzi na kuenguliwa kwa mbunge wa Arusha Godbless Lema, vifungu vilivyotumika na Jaji vinatia mashaka, na vinahoji credibility ya Judge alipoitoa hukumu hiyo.
vilevile napenda kueleza usiri wa hukumu hiyo haukuwepo kwani taarifa zilienea sehemu mbalimbali watu wakijua kuwa Lema atashindwa na kuenguliwa ubunge.
Napenda kumalizia kwa kuuliza swali je - mahakama zinapaswa kuaminika kwenye hukumu hasa kwenye kesi za kisiasa ?
Kama hapana wananchi wanapaswa kutumia hatua gani ili kulinda haki zao za kuchagua muwakilishi wao ?