Ngangasyonga
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 455
- 70
kizazi cha nyoka hiki, kila kitu kinajua, mitoto ya siku hizi balaa!!
umeona eeh? Zamani ulikuwa ukimuuliza mama kwamba "mtoto umemtoa wapi?" anakujibu nimemnunua..kizazi cha nyoka hiki, kila kitu kinajua, mitoto ya siku hizi balaa!!
Huyu atakuwa kaona ujazo wa dunia bila shaka
Mwalimu ;" wewe john unacheka nini?"
John ; "mwalimu Umekaa vibaya nimeona mapaja yako "
Mwalimu ; "huna adabu wewe toka nje nisikuone
mpaka kesho"
Mwalimu ; "na wewe Michael unacheka nini??"
Michael; "mwalimu nimeona kamba ya
bikini yako"
Mwalimu ;" shenzi wewe toka nisikuone mpaka next week"
Mwalimu ; "na wewe Jose vipi??"
Jose ; " "mwalimu nimeona tattoo yako"
Mwalimu ;"hii mitoto,toka nisikuone mpaka mwezi ujao"
Mwalimu ; "na wewe Eric unaenda wapi
sasa???"
Eric; "nilichokiona mwalimu nadhani nimefukuzwa shule kabisa."
my pleasure..You made my day.....
Tena huko unakoenda ndiyo wanavipenda balaa bora ungekuja Mabwepande huku hatumaindi kabisa vitu hivyo.eti bungeni..
muulize mwalimu mkuu..hahahaina maana hilo darasa lilikuwa lina watoto wa kiume tu?
Mwalimu ;" wewe john unacheka nini?"
John ; "mwalimu Umekaa vibaya nimeona mapaja yako "
Mwalimu ; "huna adabu wewe toka nje nisikuone
mpaka kesho"
Mwalimu ; "na wewe Michael unacheka nini??"
Michael; "mwalimu nimeona kamba ya
bikini yako"
Mwalimu ;" shenzi wewe toka nisikuone mpaka next week"
Mwalimu ; "na wewe Jose vipi??"
Jose ; " "mwalimu nimeona tattoo yako"
Mwalimu ;"hii mitoto,toka nisikuone mpaka mwezi ujao"
Mwalimu ; "na wewe Eric unaenda wapi
sasa???"
Eric; "nilichokiona mwalimu nadhani nimefukuzwa shule kabisa."