mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
1. Je wajua kwamba unaweza kuusikia mlio wa bawa la mbu linapokudondokea shavuni kwako usiku wa manane kukiwa na hali ya utulivu sana?
2. Je wajua kwamba ukiweka msumari wa inch 4 ndani ya soda ya Coca cola na kuuacha siku nzima unayeyuka kabisa?
Prove it.
3. Je wajua kwamba mtu wa kwanza kuvumbua donge la chumvi,alikufa pasipo kuijua ladha yake?
Alijiua kwa maana lilidondokea ktk bakuli la supu la mfalme na alijua ni sumu kumbe ni chumvi?
4. Je wajua kwamba kuna binadamu ambao wana uwezo wa kupaa na kuelea angani?
5. Je wajua kwamba ukiamka usingizini saa 8 dk 8 sekunde 8 siku ya tar 8 siku 8 baada ya tar 1 usiku unaweza kuiona taswira ya sura yenye mfano wako nje ya dirisha lako?
Prove it.
6. Je wajua kwamba mtoto mdogo na dhaifu kuliko wote duniani alizaliwa nchini China miaka hiyo?
Alizaliwa April 5, 1896 na alipozaliwa tu alilazwa ndani ya kijiko cha chakula na alienea?
Ila aliweza kuishi kwa siku 3 tu kisha akafariki.
How do you do this...i've always wanted to be a superman tufundisheni